The Khoisan
JF-Expert Member
- Jun 5, 2007
- 15,394
- 12,978
Waliokuwa wanasema Mpendazoe kakimbia kwao sasa waje hapa tuwasikie tena na watuambie story zao!! TZ ni ya kwetu wote na tuna uhuru wa kuishi na kugombea mahali popote isipokuwa ZNZ!!
makongoro aliiba masanduku kibao, ila fredy akshinda tangu jana.
kWELI NIANZE KUNYWA BIAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA
tafadhali bia tena! Wenzio tunafurahia kwa kujiandaa kuchangia mawazo sasa!!!!!!
Usije lewa kama yule aliyekufa kwa kubwia gongo bureeeeeee
Waliokuwa wanasema Mpendazoe kakimbia kwao sasa waje hapa tuwasikie tena na watuambie story zao!! TZ ni ya kwetu wote na tuna uhuru wa kuishi na kugombea mahali popote isipokuwa ZNZ!!
Au Arusha jana tulikomaa nao mpaka kikaeleweka....Dar msilale igeni mtindo wa Mwanza.
Jamani Segerea bado, wanasubiri eti matokeo ya Kiwalani, Kipawa
ChademaTz Julius Selasini (CHADEMA) ametangazwa Mbunge mteule jimbo la Rombo baada ya kumwangusha Basil Mramba (CCM) #UchaguziTz #Tanzania
mbuyi tulandi mbolembole mayimbi ayi,tutukani vandu mayimbi ayi,chilau kwa balozi mayimbi aya
Jamani Segerea bado, wanasubiri eti matokeo ya Kiwalani, Kipawa