Kinachoendelea Bungeni ni wale wa mbeleko VS wabeba mbeleko

Ngho

Senior Member
Jun 2, 2015
121
189
Baada ya kifo cha mpendwa wetu takriban mwezi mmoja sasa kumetokea na sintomfahamu kubwa BUNGENI miongoni mwa MPs, hali ambayo sio AFYA kwa taifa letu. Tukumbuke kuwa hili ni Bunge la budget, lakini anasimama mbunge wa jimbo fulani kuchangia Hotuba ya wizara husika lakini hoja inajikita katika malumbano ya kifikra juu ya Marehemu.

Kuna ambao wanataka Marehemu aenziwe kama mwenyewe alivyotaka yaani 'Special Recognition'. Hawa wanataka Bunge liwe na azimio la pamoja katika kuenzi yote ambayo yameachwa na Marehemu, hawa mwalimu wangu anawaita Protagonist.

Na kuna wengine ambao wanakubali kuwa aenziwe ila Legacy ijipambanue kama ile ya watangulizi wake kuanzia kwa Mwl Nyerere katika harakati zake za ukombozi wa Nchi na Bara kwa ujumla na mengine mengi ambayo tunayasikia, Mzee mwinyi kama tulivyoishi katika nyakati zake mpaka akawa nominated kama Mzee Ruksa, Mr Ben ambaye Mzee wa msoga alimuelezea kama master plan wa malengo yanayotekelezwa kwa awamu hizi nne kuanzia na mzee wa Lupaso mwenyewe, pia tuna Mzee wa msoga mwenyewe ambaye kila mtu anamjua na anaelezwa vyovyot na yeyote KUTOKANA na aliyoyafanya, tena tuna Marehemu ambaye kwa bahati mbaya au kwa mapenzi ya Mungu ameshindwa kumaliza terms mbili za utawala wake. Hili kundi la pili linataka Legacy ya mtu isilazimishwe kwa watu KUAMINI kuwa the man was superb than his formers bali wanasisitiza waache mambo yajieleze na wanaenda mbali zaidi kwa kusema kuwa Mzee wa Chato amefanya mambo mengi, yamo yanayofaa kuendelezwa, kuondolewa na vile vile Mama ambaye ni mrithi wake anaweza KUBUNI kadri anavyoona inafaa.

Mtazamo wangu, kwenye Bunge hili la 12 limebeba wabunge wa kila aina kama tutakuwa na kumbukumbu tunajua mchakato ulivyokuwa kuanzia kwenye chama mpaka kwenye Ballot box. Kuna WALE ambao walibebwa na mfumo moja kwa moja yaani UNEXPECTED to enter the house, na wale ambao wana uwezo pasipo kuwa na mfumo ambao ulitumika. Changamoto ambayo inalikumba kundi la kwanza ni kuwa mfumo uliwabeba hivyo wanamshawishi mama afuate nyayo za mtangulizi wake ili wanufaike moja kwa moja na aina ya siasa ambazo zilitumika,KUMBUKA katika hili kundi kuna watu waliokotwa majalalani na kuletwa kwenye siasa, na kundi la pili linaona wao kama wao wanaweza kujipambanua wao wenyewe kadri iwavyo KUTOKANA na uwezo wao, the FUTURE is on their own, hawa ni pure politicians.
 
Hofu ya baadhi ya wabunge ni mageuzi anayoweza kufanya mama kwenye demokrasia(encroaching principles of liberal democracy) katiba mpya, uchaguzi huru na haki, uwazi na mfumo wenye uwanja sawa wa siasa. Kwa haya mama aachwe alete mageuzi yake binafsi ili mradi miradi ya maendeleo na ya kiuchumi aiendeleze kwa falsafa ileile ya Magufuli.
 
Hofu ya baadhi ya wabunge ni mageuzi anayoweza kufanya mama kwenye demokrasia(encroaching principles of liberal democracy) katiba mpya, uchaguzi huru na haki, uwazi na mfumo wenye uwanja sawa wa siasa.Kwa haya mama aachwe alete mageuzi yake binafsi ili mradi miradi ya maendeleo na ya kiuchumi aiendeleze kwa falsafa ileile ya magufuli.
Ndipo wenye hofu na hiyo mipango ya mama wanaamini hawatoendelea kwenye mizani ya siasa kwa sababu waliingia kwa mkono wa chuma
 
Mgogo anataka urais 2025.. tulisikia wagawanye watawale .

Ola kifo ndio kiboko Yao. Control S
Hiki kifo kimeharibu kila kitu maana kuna ambao beyond 2025 watakuwa umri umewaacha, wenye matumaini ni wale wenye umri wa kati ambao wanaweza kusubiri '30.
 
Tuzidi kuomba Mungu Mama akubali tuanze kutengeneza Taasisi imara. Na siyo Watu.

Tukiwa na Katiba mathubuti na Utawala unaoheshimu haki na Sheria za nchi basi Huu mjadala Wa kipumbavu (eti kuenzi legacy) pamoja na wabunge wachumia tumbo tulio nao visingepata nafasi kwenye Bunge letu tukufu.

Pamoja na madhaifu yaliyomo kwenye Katiba yetu, lakini huyu Rais aliyekufa aliisigina zaidi na kuidharaulisha sana Katiba pamoja na mfumo Wa maisha kiujumla, toka lini legacy ya mtu ikalazimishwa? Mbona hakujawahi kutokea mtu Wa kulazimisha legacy za akina Nyerere, Mandela, Nkurumah n.k lakini mpaka Leo zinaishi?

Magufuli ana upekee gani kiasi cha Legacy yake kushinikizwa na siyo kuachwa ijipambanue yenyewe?
 
Hofu ya baadhi ya wabunge ni mageuzi anayoweza kufanya mama kwenye demokrasia(encroaching principles of liberal democracy) katiba mpya, uchaguzi huru na haki, uwazi na mfumo wenye uwanja sawa wa siasa. Kwa haya mama aachwe alete mageuzi yake binafsi ili mradi miradi ya maendeleo na ya kiuchumi aiendeleze kwa falsafa ileile ya Magufuli
It will never happen in Africa especially Tanzania, muda ni hakimu mzuri.
 
Hapa inatakiwa ajue tu kuwa wananchi wanamuangalia yeye, na inabidi ajijenge yeye kama yeye ili wananchi wamkumbuke kwa kile ambacho atatufanyia. She has to forget and accept that he has gone and herself is to bring our bright future
 
Hofu ya baadhi ya wabunge ni mageuzi anayoweza kufanya mama kwenye demokrasia(encroaching principles of liberal democracy) katiba mpya, uchaguzi huru na haki, uwazi na mfumo wenye uwanja sawa wa siasa. Kwa haya mama aachwe alete mageuzi yake binafsi ili mradi miradi ya maendeleo na ya kiuchumi aiendeleze kwa falsafa ileile ya Magufuli.
Demkrasia hiii ndio iliyowafanya wapinzani wakaingia bungeni na walipokosa sera ikawaondoa bungeni. Kwa hiyo unataka Demkrasia gani ?
 
Tuzidi kuomba Mungu Mama akubali tuanze kutengeneza Taasisi imara. Na siyo Watu.

Tukiwa na Katiba mathubuti na Utawala unaoheshimu haki na Sheria za nchi basi Huu mjadala Wa kipumbavu (eti kuenzi legacy) pamoja na wabunge wachumia tumbo tulio nao visingepata nafasi kwenye Bunge letu tukufu.

Pamoja na madhaifu yaliyomo kwenye Katiba yetu, lakini huyu Rais aliyekufa aliisigina zaidi na kuidharaulisha sana Katiba pamoja na mfumo Wa maisha kiujumla, toka lini legacy ya mtu ikalazimishwa? Mbona hakujawahi kutokea mtu Wa kulazimisha legacy za akina Nyerere, Mandela, Nkurumah n.k lakini mpaka Leo zinaishi?

Magufuli ana upekee gani kiasi cha Legacy yake kushinikizwa na siyo kuachwa ijipambanue yenyewe?
Na wewe unaupekee gani hadi utufokee hapa na kulazimisha mawazo yako ya kitoto hapa.
 
Jiwe alitengeneza wanasiasa mazezeta wengi sana.

Mungu katunusuru wananchi kugeuzwa mazezeta kama wanasiasa walivyofanywa.
Hao wanasiasa Magu aliwakuta na amewaacha na wataendelea kuwepo. Unateseka kwa sababu hujui maana ya siasa na mwanasiasa. Utachelewa sana kuwaza kuhusu wanasiasa. Fanya shghuli zako ndugu.
 
Demkrasia hiii ndio iliyowafanya wapinzani wakaingia bungeni na walipokosa sera ikawaondoa bungeni. Kwa hiyo unataka Demkrasia gani ?
Kwahiyo upinzani nchi nzima walikosa sera ndo maan hawapo bungeni tena? Hakika akili ni nywele kila mmoja ana zake
 
Baada ya kifo cha mpendwa wetu takriban mwezi mmoja sasa kumetokea na sintomfahamu kubwa BUNGENI miongoni mwa MPs, hali ambayo sio AFYA kwa taifa letu. Tukumbuke kuwa hili ni Bunge la budget, lakini anasimama mbunge wa jimbo fulani kuchangia Hotuba ya wizara husika lakini hoja inajikita katika malumbano ya kifikra juu ya Marehemu.

Kuna ambao wanataka Marehemu aenziwe kama mwenyewe alivyotaka yaani 'Special Recognition'. Hawa wanataka Bunge liwe na azimio la pamoja katika kuenzi yote ambayo yameachwa na Marehemu, hawa mwalimu wangu anawaita Protagonist.

Na kuna wengine ambao wanakubali kuwa aenziwe ila Legacy ijipambanue kama ile ya watangulizi wake kuanzia kwa Mwl Nyerere katika harakati zake za ukombozi wa Nchi na Bara kwa ujumla na mengine mengi ambayo tunayasikia, Mzee mwinyi kama tulivyoishi katika nyakati zake mpaka akawa nominated kama Mzee Ruksa, Mr Ben ambaye Mzee wa msoga alimuelezea kama master plan wa malengo yanayotekelezwa kwa awamu hizi nne kuanzia na mzee wa Lupaso mwenyewe, pia tuna Mzee wa msoga mwenyewe ambaye kila mtu anamjua na anaelezwa vyovyot na yeyote KUTOKANA na aliyoyafanya, tena tuna Marehemu ambaye kwa bahati mbaya au kwa mapenzi ya Mungu ameshindwa kumaliza terms mbili za utawala wake. Hili kundi la pili linataka Legacy ya mtu isilazimishwe kwa watu KUAMINI kuwa the man was superb than his formers bali wanasisitiza waache mambo yajieleze na wanaenda mbali zaidi kwa kusema kuwa Mzee wa Chato amefanya mambo mengi, yamo yanayofaa kuendelezwa, kuondolewa na vile vile Mama ambaye ni mrithi wake anaweza KUBUNI kadri anavyoona inafaa.

Mtazamo wangu, kwenye Bunge hili la 12 limebeba wabunge wa kila aina kama tutakuwa na kumbukumbu tunajua mchakato ulivyokuwa kuanzia kwenye chama mpaka kwenye Ballot box. Kuna WALE ambao walibebwa na mfumo moja kwa moja yaani UNEXPECTED to enter the house, na wale ambao wana uwezo pasipo kuwa na mfumo ambao ulitumika. Changamoto ambayo inalikumba kundi la kwanza ni kuwa mfumo uliwabeba hivyo wanamshawishi mama afuate nyayo za mtangulizi wake ili wanufaike moja kwa moja na aina ya siasa ambazo zilitumika,KUMBUKA katika hili kundi kuna watu waliokotwa majalalani na kuletwa kwenye siasa, na kundi la pili linaona wao kama wao wanaweza kujipambanua wao wenyewe kadri iwavyo KUTOKANA na uwezo wao, the FUTURE is on their own, hawa ni pure politicians.
Inafikia hatua mtu unawaza hadi unaogopa... "hali hii ni miaka mitano na ushei je angetimiza mihula miwili...?"
 
Baada ya kifo cha mpendwa wetu takriban mwezi mmoja sasa kumetokea na sintomfahamu kubwa BUNGENI miongoni mwa MPs, hali ambayo sio AFYA kwa taifa letu. Tukumbuke kuwa hili ni Bunge la budget, lakini anasimama mbunge wa jimbo fulani kuchangia Hotuba ya wizara husika lakini hoja inajikita katika malumbano ya kifikra juu ya Marehemu.

Kuna ambao wanataka Marehemu aenziwe kama mwenyewe alivyotaka yaani 'Special Recognition'. Hawa wanataka Bunge liwe na azimio la pamoja katika kuenzi yote ambayo yameachwa na Marehemu, hawa mwalimu wangu anawaita Protagonist.

Na kuna wengine ambao wanakubali kuwa aenziwe ila Legacy ijipambanue kama ile ya watangulizi wake kuanzia kwa Mwl Nyerere katika harakati zake za ukombozi wa Nchi na Bara kwa ujumla na mengine mengi ambayo tunayasikia, Mzee mwinyi kama tulivyoishi katika nyakati zake mpaka akawa nominated kama Mzee Ruksa, Mr Ben ambaye Mzee wa msoga alimuelezea kama master plan wa malengo yanayotekelezwa kwa awamu hizi nne kuanzia na mzee wa Lupaso mwenyewe, pia tuna Mzee wa msoga mwenyewe ambaye kila mtu anamjua na anaelezwa vyovyot na yeyote KUTOKANA na aliyoyafanya, tena tuna Marehemu ambaye kwa bahati mbaya au kwa mapenzi ya Mungu ameshindwa kumaliza terms mbili za utawala wake. Hili kundi la pili linataka Legacy ya mtu isilazimishwe kwa watu KUAMINI kuwa the man was superb than his formers bali wanasisitiza waache mambo yajieleze na wanaenda mbali zaidi kwa kusema kuwa Mzee wa Chato amefanya mambo mengi, yamo yanayofaa kuendelezwa, kuondolewa na vile vile Mama ambaye ni mrithi wake anaweza KUBUNI kadri anavyoona inafaa.

Mtazamo wangu, kwenye Bunge hili la 12 limebeba wabunge wa kila aina kama tutakuwa na kumbukumbu tunajua mchakato ulivyokuwa kuanzia kwenye chama mpaka kwenye Ballot box. Kuna WALE ambao walibebwa na mfumo moja kwa moja yaani UNEXPECTED to enter the house, na wale ambao wana uwezo pasipo kuwa na mfumo ambao ulitumika. Changamoto ambayo inalikumba kundi la kwanza ni kuwa mfumo uliwabeba hivyo wanamshawishi mama afuate nyayo za mtangulizi wake ili wanufaike moja kwa moja na aina ya siasa ambazo zilitumika,KUMBUKA katika hili kundi kuna watu waliokotwa majalalani na kuletwa kwenye siasa, na kundi la pili linaona wao kama wao wanaweza kujipambanua wao wenyewe kadri iwavyo KUTOKANA na uwezo wao, the FUTURE is on their own, hawa ni pure politicians.
Hii ndio hali halisi. Wanapayuka payuka tu kama mambweha.
 
Back
Top Bottom