Kinachoboa Mwanza

Wanaume Wa dar bana mushazoea vichipsi uchwara, ndio maana mnakuwa legelege hovyo, hicho chakula unachokiponda sisi kimetukuza na tumezoea hivyo, ukitaka kupikiwa unavyotaka tafuta hela nenda kwa mahoteli makubwa au ukija Mwanza uwe unakuja na chakula chako unatunza, sijui umenielewa?
 
mambo ya misosi hayo kitugani bwana,,,
,,sema kuhusu mzunguko wa hela,,mwanza patamu kwenye mzunguko wa hela,,,pia vyakula vingi sana
 
Siku hizi kupata migahawa ya bei za kawaida na bado wakakupa chakula kizuri imekuwa ngumu sana,wapishi kama yule anayelisha opposite na rocky city mall,ni adimu!Nampa hongera yule mama pale nje ya mall unajitahidi kukarangiza.
Upande upi wa Rock Mall? Geti la kutokea uwanja wa furahisha au Ghana?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kila sehemu kuna tamaduni na namna ya maisha, hivo basi hapawezi kuwa sawa. Watu wa huko labda wanapenda mchemsho na si wapenzi wa vyakula vyenye viungo. Uwezi sema awajui ila ukupata ulichotaka. Na hii ni kweli kabisa watu wa pwani wanapenda vikolombwezo vingi na wengine wanataka natural taste

Sent using Jamii Forums mobile app
 

kwa suala la msosi hili huendana na maeneo na aina ya mtu, ni sawa na msukuma umpeleke Dar akale Pweza anaweza kutapika, au Muha wa Kigoma umpeleke Znji ale urojo wakati kazoea Ugali wa mteke na Dagaa wa mawese unamtesa,
kijana wa Dar uliezoea Chipsi na sekela uje Mwanza upewe Udaga hata tonge moja humalizi,

Ila waulize wasanii, waigizaji ni nini huwa kinawaleta Mwanza utapata jibu, pia we mwenyewe ni Apeche ndio maana standard ya msosi uliokutana nao ni wa hadhi yako
 
Pale sahara kuna mmoja Huyo anaitwaga mzee snake,,,,

,,,ugali nyama choma..ugali samaki wa kuchemsha,,,
Alafu kuna ugali wa mtama,,
,,,Kuna ugali na kichuri mura,,
Misosi orijino tupu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Karibu kanda ya pwani mkuu. Kwa misosi wanajitahidi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 


Ukiona mtu mpaka anaanzisha thread kuiponda mwanza ujuwe wivu unamsumbua πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Wanaume wa mikoani pamoja na kua na nguvu za kiume lakini wakigongewa madem zao either wanawauwa wapenzi wao hao na wenyewe wanajinyonga... wanaume wa mikoani dhaifu sana kuhimili mikiki mikiki ya kimapenzi..kwao wanawake ni kitu cha ajabu sana...
 
Mfano ni zipi mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
Watu wanafanya mishe tofauti,,,

Rasilimali kama ziwa victoria,,madini,,,kilimo,,mifugo,utalii,

pia kua karibu na kenya,uganda,rwanda inasadia sana kuleta muingiliano na mzunguko wa fedha,,

,,lkn mikoa ya kg,bk,mara,geita,simiyu,singapol(singida),mboka manyema(tabora),,,kuna baadhi ya mahitaji pamoja na bidhaa wanategemea kununua,kuuza kutoka rock city,,,
Kwa sababu hizo na zingine ambazo cjazitaji,zinakufanya hata ukizalisha bidhaa,kuanzisha duka,kufuga,kulima biashara inachanganya vizuri tu,na mkwanja unaingia,,,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…