Kila mtu ana namna yake ya kuzungumza, kuna watu wana kigugumizi, kuna watu wanaongea kwa mkato, kuna watu wanaongea kwa kutamka na kuruka maneno, sasa hizo jazba siyo jazba kama wewe unavyotafasri, ni namna ya kuzungumza tu na ndivyo alivyo, kuna vitu huwezi kumbadilisha mtu kwa sababu ndivyo alivyozaliwa na ndivyo alivyo.
Kulamba midomo is nonsense! ulitaka alambe pua? kumbuka mtu akiongea mdomo huwa kama vle unapauka hasa hii inategemea na sehemu uliyopo kwa mfano mikoa ya Mbeya, Iringa, Singida, Dodoma na wilaya ya Ngorongoro kule wasso na Loliondo..
Ulishamuona Prof, Kabudi akiwa anaongea? ile ndo alivyo ....