Kina nani walitumwa Kwa Lissu kwenda gerezani kumshawishi atoke, je Lissu ni tishio Kwa Serikali?

Kina nani walitumwa Kwa Lissu kwenda gerezani kumshawishi atoke, je Lissu ni tishio Kwa Serikali?

Mto wa mbu

JF-Expert Member
Joined
Aug 8, 2021
Posts
4,126
Reaction score
9,593
Kwenye hii nchi machawa walikuwa wanamchukulia poa Lissu, lakini muda ume prove kuwa the man has influence.

Serikali sio wajinga kuumiza kichwa na kutafuta exit plan ya kumwachia Lissu. Tuliambiwa na Heche kuwa Kuna team ilitumwa gerezani na Samia ya kumshawishi Lissu akubali kuachiliwa lakini ahame nchi.

Lissu amekuwa tishio kiasi hicho Hadi serikali inatamani ahame nchi.

Je ni kina nani walitumwa kumshawishi Lissu Ili akubali kuachiwa?

Je why serikali inahaha Lissu aondoke nchini?

Hali ya siasa itakuwaje Lissu akitoka gerezani?

Hali ya siasa itakuwaje akikutwa na hatia na kuhukumiwa kunyongwa?

Hali itakuwaje endapo Samia atatangaza maridhiano na Lissu akakataa kushiriki maridhiano?

Mto wa Mbu,
Zagreb-Croatia.
 
Ni kichekesho kwa kweli! Akihama nchi serikali isidhani kwamba itapumua, ndio kwanza ari na moyo wa kutaka mabadiliko itaibuka kwa kasi mpya. Ile ni mbegu ilishapandwa ikaota ikamdea na sasa inakua, ni suala la muda matunda yatatokea.
 
Ni kichekesho kwa kweli! Akihama nchi serikali isidhani kwamba itapumua, ndio kwanza ari na moyo wa kutaka mabadiliko itaibuka kwa kasi mpya. Ile ni mbegu ilishapandwa ikaota ikamdea na sasa inakua, ni suala la muda matunda yatatokea.
Watanzania wamemuamini sana Lissu, Hadi mama Abdul anashindwa amshawishi au amnunue vipi
 
Kwwnye hii nchi machawa walikuwa wanamchukulia poa Lissu, lakini muda ume prove kuwa the man has influence.

Serikali sio wajinga kuumiza kichwa na kutafuta exit plan ya kumwachia Lissu. Tuliambiwa na Heche kuwa Kuna team ilitumwa gerezani na Samia ya kumshawishi Lissu akubali kuachiliwa lakini ahame nchi.

Lissu amekuwa tishio kiasi hicho Hadi serikali inatamani ahame nchi.

Je ni kina nani walitumwa kumshawishi Lissu Ili akubali kuachiwa?

Je why serikali inahaha Lissu aondoke nchini?

Hali ya siasa itakuwaje Lissu akitoka gerezani?

Hali ya siasa itakuwaje akikutwa na hatia na kuhukumiwa kunyongwa?

Hali itakuwaje endapo Samia atatangaza maridhiano na Lissu akakataa kushiriki maridhiano?

Mto wa Mbu,
Zagreb-Croatia.
In Africa "state power is next" to God.
 
Upinzani wa sasa umehamia kwa wananchi dhidi ya serkali.
Hata kama lissu akinunuliwa akakaakimya.
Je mateso ya mwendokasi hatuyaoni?
Tabu za kutokupata maji hatuzioni?
utekaji na upokaji wa haki kwa raia nasisitiza raia si chama penzani hatuzioni ?
Ufisadi kwa viongozi na familia zao hatuoni?
Ubambikizwaji kesi kwa raia hatuoni?
Kuwekana madarakani hatuoni?
Viongozi wa kidini kubagazwa tofaut na viongozi dini machawa hatuoni.?
Ni hayo machache kati ya mengi ambayo hayahitaji Lissu atuonyeshe kwa kurunzi.
Sisi raia tulio ndani na nje ya chama na tusio na vyama tunaona wenyewe.
Mitandao ndo jukwaa letu tunaona,tutajadili na tutachukua hatua muda ukifika hakuna atakayezuia wananchi ku take action.
 
Upinzani wa sasa umehamia kwa wananchi dhidi ya serkali.
Hata kama lissu akinunuliwa akakaakimya.
Je mateso ya mwendokasi hatuyaoni?
Tabu za kutokupata maji hatuzioni?
utekaji na upokaji wa haki kwa raia nasisitiza raia si chama penzani hatuzioni ?
Ufisadi kwa viongozi na familia zao hatuoni?
Ubambikizwaji kesi kwa raia hatuoni?
Kuwekana madarakani hatuoni?
Viongozi wa kidini kubagazwa tofaut na viongozi dini machawa hatuoni.?
Ni hayo machache kati ya mengi ambayo hayahitaji Lissu atuonyeshe kwa kurunzi.
Sisi raia tulio ndani na nje ya chama na tusio na vyama tunaona wenyewe.
Mitandao ndo jukwaa letu tunaona,tutajadili na tutachukua hatua muda ukifika hakuna atakayezuia wananchi ku take action.
Kweli kabisa
 
Ni kuendelea kumshikilia Lisu, ndiko liliko hakikisho kuwa watawala wa Tanzania lazima watadhibitiwa na vyombo vya kimataifa, kama watanzania wakishindwa kuwadhibiti.

Lisu kuwa huru, ndiyo njia pekee itakayopoza mambo.
 
Kwenye hii nchi machawa walikuwa wanamchukulia poa Lissu, lakini muda ume prove kuwa the man has influence.

Serikali sio wajinga kuumiza kichwa na kutafuta exit plan ya kumwachia Lissu. Tuliambiwa na Heche kuwa Kuna team ilitumwa gerezani na Samia ya kumshawishi Lissu akubali kuachiliwa lakini ahame nchi.

Lissu amekuwa tishio kiasi hicho Hadi serikali inatamani ahame nchi.

Je ni kina nani walitumwa kumshawishi Lissu Ili akubali kuachiwa?

Je why serikali inahaha Lissu aondoke nchini?

Hali ya siasa itakuwaje Lissu akitoka gerezani?

Hali ya siasa itakuwaje akikutwa na hatia na kuhukumiwa kunyongwa?

Hali itakuwaje endapo Samia atatangaza maridhiano na Lissu akakataa kushiriki maridhiano?

Mto wa Mbu,
Zagreb-Croatia.
Unaamini kila unalolisikia?
 
Back
Top Bottom