Kina kaka nawaomba hapa

Kina kaka nawaomba hapa

Je unaweza kabisa kuomba ushikwe na uchezewe sehemu ya tundu la haja Kubwa kwa kigezo kwamba Una enjoy mchezo na mpenzi wako? Huo ni ujuzi wa mapenzi au kuna mengine??

Hahaaaaaaaaaaaaa! Ukiona hivyo antena yake imekaa huko.
Bidada inaweza kula kwake mbele ya Safari-jamaa anaweza kuwa si mzima.
 
Mambo ya sirini yanapotoka hadharani, haya mgroup haya!!!
 
Kuna kipindi yaani mwaka 2010 kuna jamaa alinifuata inbox ya facebook akasema amevutiwa na mimi.Nilistuka sana ikabidi nimuulize unavutiwaje na mimi wakati mimi mwanaume mwenzio au unahisi mimi shoga? Nilimuuliza hivyo kwa sababu yeye kwenye wall yake amepost picha akiwa na watoto wake wawili na mimi sina hata mtoto kipindi hiko.

Akaniambi hapana ila yeye ndiye shoga na anahitaji niwe ninampumulia yeye 😱😱 nilishangaa sana. Nikamwambia mimi ninavyojua ni kuwa mwanaume akipumiliwa huwa hadindi akasema hakuna kitu kama hiko.

Yaani yeye kwa maelezo yake ukimuungiza dushe na yeye ndio anasimamisha lake so anakuwa kama anajichua wewe ukifika kilele na yeye anafika.

Nikamwambia nao hao watoto umewapataje ? Alinijibu kuwa huwa anagegeda wanawake kama kawaida lakini mwanamke atakaye mgegeda lazima amuombe amuingize kidole cha kwenye puru ili na yeye apate raha.

Nahitimisha kwa kusema huyo jamaa atakuwa ni sawa na huyu aliyenifuata mimi inbox huko kweny fb miaka ile.
Mwanaume rijali analinda sehemu ya haja kubwa kuliko hata mboni ya jicho lake.
Umeona mbaba.. Mi hata nikiwa na beib tunaoga.. Aguse pote ila kalio langu marufuku asee...
 
Ila Jamani tufikir na upande wa pili... Kina bi dada nao mbona wanapoz zao za ajabu tu na vidume tunaelewa mbona..
Kwa mfano.. Wengine wakikarbia.. Wanaomba umpe ulimi, Wengine umnyonye maziwa.. Umbusu sikoni.. Shingon.. Na Mengine mengi..
Sasa Inawezekana na jamaa nae ni stimu zake tu.. Kama ambavyo na wenzetu hufanya...

Lakini pia kuna best angu alikuwa ananipa stor kuwa demu wake akijua jamaa anaenda kushusha mzigo na mbibie bado.. Mbibie anamtanua makalio jamaa.. Hivyo jamaa hawez kumaliza akiwa ktka hyo hali kias kwamba anamsubir mbibie nae washuke wote
Sex ni uchafu.. Full stop
 
Maswala ya kitandani ni personal sana sijui kwanini huyo bidada kaamua ku-share Watsap, kwasababu mkiwa kitandani kuna mambo mengi yanajitokeza wakati wa raha hiyo ambayo ni vema kusitiriana, kwa mfano wengine wanapenda kupiga kelele inabidi kumfunga mdomo ili kuepuka embarrassment, wengine hujamba vibaya hivyo ni vema kuwasitiri tu, jamani katika kufanya mapenzi kila mtu ata behave tofauti itategemeana na alivyoumbwa tujifunze kuwasitiri wenzetu. Huyu ipo siku atamtangaza mwenzie kwamba anaenda chumvini ambayo kimsingi ni uchafu.
Naona hawajui nini maana ya starehe hii, kufanya mapenzi ni starehe kubwa sana na kila mmoja anachanzo chake cha muhemko! Hakika tunapaswa kusitiriana na wala si kuanikana kama hv, sasa hapa stara iko wapi? Raha ya kuwa wawili katika faragha iko wapi? Mmmhhh Mungu atupe hekima ya kusitiriana tuwapo faragha na wenza wetu!
 
Ila Jamani tufikir na upande wa pili... Kina bi dada nao mbona wanapoz zao za ajabu tu na vidume tunaelewa mbona..
Kwa mfano.. Wengine wakikarbia.. Wanaomba umpe ulimi, Wengine umnyonye maziwa.. Umbusu sikoni.. Shingon.. Na Mengine mengi..
Sasa Inawezekana na jamaa nae ni stimu zake tu.. Kama ambavyo na wenzetu hufanya...

Lakini pia kuna best angu alikuwa ananipa stor kuwa demu wake akijua jamaa anaenda kushusha mzigo na mbibie bado.. Mbibie anamtanua makalio jamaa.. Hivyo jamaa hawez kumaliza akiwa ktka hyo hali kias kwamba anamsubir mbibie nae washuke wote
Sex ni uchafu.. Full stop
Sex ni zaidi ya uchafu.....it is crazy....kila mtu ana steam yake, heshima inatakiwa sana tuwapo faraghani na wenza wetu, yanini kumchoresha mwenzio ilihali nawe una maajabu yako!! Ila kizazi chetu hiki sijui nani katuroga mpaka tukakosa stara namna hii!!
 
Mimi mwanamke akitaka niache mchezo nimvunje meno kwa makonde apeleke mkono kwenye puru yangu hata kama kajisahau,lazma ataandika kitabu ila huyo jamaa anahitaji msaada
 
Sio jambo la busara kumtangaza mpenz wako kw watu hata kama hawamjui, mapenz n siri kati ya watu wawili.. huyo dada kakosea sana n heri angemuuliza huyo jamaa ili amwambie vizur khs ilo sawa na wayamalize wao wenyew n kuweka kwny mitandao...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom