Kina Kaka huwa mnajifikiriaje?

Kina Kaka huwa mnajifikiriaje?

Watu wenye fikra finyu wapo wengi kwenye jamii yoyote, jifunze kucope nao. Huwa sielewi kwanini mwanaume akae anazungumzia mahusiano yake kwenye hadhira au azungumzie mwanamke asie na uhusiano nae kama vile ni kitu na si binadamu. Jifunze kuivumilia hiyo hali, ni vigumu kumbadili kila mtu mara moja ila unaweza kuanza kwa kuchagua aina ya wanaume unaotoka nao. Ukitoka na watu walio immature, wasiojielewa na wenye kuchukulia mahusiano kama kitu cha kutafutia sifa utatundikwa kwenye vijiwe kila siku na hutaheshimika kamwe!
 
Mweh! Hii post imenifurahisha kweli, ntakuongezea mengine da zuu,
1. Nimemkanyaga
2. Nimmepiga
3. Nimelamba

Nk

Kuna lugha nyingine zimekaa kienyeji sana aisee! Ukiitumia tu, mtu anaekusikia anaweza kutathmini mpaka IQ yako!
 
Kuna binti mmoja wa form six alikuwa akilalamika kuwa walimu wanamtongoza shuleni. Alikuwa na kawaida akikutana na mwanaume akamtongoza anakuja kusema. Zuwena ukishakuwa mwanamke hayo ni maneno ya kawaida ila cha msingi ni kutoyasikiliza. Ukiyaendekeza utapata kichaa maana huna uwezo wa kuwazuia. Lingine nikuulize unavaa nguo za namna gani. Pamoja na kwamba hawa vijana wa vijiweni hujitoa ufahamu ni mara chache kusema maneno haya kwa mtu akiyevaa nguo za staha. Halafu kama ulishagawa uroda kwa kijana wa kijiwe ni kawaida yao kusimuliana. Kama hujafanya hayo mawili ni nadra kukutana na maneno hayo.
 
Kuna binti mmoja wa form six alikuwa akilalamika kuwa walimu wanamtongoza shuleni. Alikuwa na kawaida akikutana na mwanaume akamtongoza anakuja kusema. Zuwena ukishakuwa mwanamke hayo ni maneno ya kawaida ila cha msingi ni kutoyasikiliza. Ukiyaendekeza utapata kichaa maana huna uwezo wa kuwazuia. Lingine nikuulize unavaa nguo za namna gani. Pamoja na kwamba hawa vijana wa vijiweni hujitoa ufahamu ni mara chache kusema maneno haya kwa mtu akiyevaa nguo za staha. Halafu kama ulishagawa uroda kwa kijana wa kijiwe ni kawaida yao kusimuliana. Kama hujafanya hayo mawili ni nadra kukutana na maneno hayo.

para... umemaliza yote apo hi ndo jf bana nuktaa.
 
Kuna binti mmoja wa form six alikuwa akilalamika kuwa walimu wanamtongoza shuleni. Alikuwa na kawaida akikutana na mwanaume akamtongoza anakuja kusema. Zuwena ukishakuwa mwanamke hayo ni maneno ya kawaida ila cha msingi ni kutoyasikiliza. Ukiyaendekeza utapata kichaa maana huna uwezo wa kuwazuia. Lingine nikuulize unavaa nguo za namna gani. Pamoja na kwamba hawa vijana wa vijiweni hujitoa ufahamu ni mara chache kusema maneno haya kwa mtu akiyevaa nguo za staha. Halafu kama ulishagawa uroda kwa kijana wa kijiwe ni kawaida yao kusimuliana. Kama hujafanya hayo mawili ni nadra kukutana na maneno hayo.

para... umemaliza yote apo hi ndo jf bana nuktaa.
 
Kosa ni la kwako
uki deal na wasela wa vijiweni tegemea lugha hizo hizo
unge deal na wenye heshima zao usingetukanwa ukipita
Halafu kama umeshajua ukigawa gawa hovyo kwa wahuni hicho ndio kinachotokea kwa nini uendelee kugawa gawa?
 
mwanamke ndiye aliye sababisha nikafukuzwa heden,some times huwa mnatuboa mnavyo ringa wakat nyie ndio source ya matatizo
 
saikolojia..........a man is dominant n power oriented...hutazuia hiyo na hujaweka......ishu ni jinsi ya kutumia maneno yapi muda gani....
 
Zuwenna Umesahau lingine wanalotumiaga mkipita utackia "HUYO NISHAMCHORA KWA JICHO!"
 
Wengi hum mmejaji tofoati, naomba nieleweke kuwa lengo langu nikuwaeleza vijana wenzangu kuwa maneno mengine mnakosea kuyatumia hata kama ni ujana sio hivyo, unapo tamka neno kwa binti ambaye nikama dada yako nyumba au mama kama mama yako nyumbani nikumdharilisha hata ndugu yako, wengi mmekwenda kusiko na kuhisi kuwa unapo ambiwa maneno hayo nikuwa wewe umehusika na maneno hayo sikweli, wanatamka kwa matakwa yao na si vinginevyo
 
ZuwennaPole sana zuwena maana nikwel hayo mambo yapoIla kama hutaki hizo kashifa kwa nini ugawegawe, maana ndio chanzo kinachoqapelekea wanaume kuyasema
Sikweli hilo limewai tokea na sina tabia hiyo
 
Last edited by a moderator:
Asallam/aleykum kwa waislam na Bwana Yesu asifiwe.

Kaka zangu kwanza msinielewe vibaya lakini napenda kuwauliza mnajifikiriaje mnapotumia maneno ya kukera kwa kinadada ambao ni kama dadazenu au mama zenu nyumbani!

Unakuta binti anapita mnaanza HUYU NIMESHA MLA! HATA JAMAA AMESHA MGONGA! LIMEKAA POA KWAKUPIGA MITI! maneno ya ajabu ajabu tena kwa sauti, UMEMLA!! kawa samaki, jamani kiukweli mnatudharilisha kwani hakuna maneno mengine?

Mnajisikiaje katika nafsi zenu mtumiapo maneno hayo namengine! Mnatudharau, mnatutukana, au mnatusifia?

Mwenyezi Mungu awe nanyi Zuwenna
wewe umeliwa mara ngapi?
 
Hayo maneno au maongezi ya kiume acha kuingilia utapasuka..usiingilie kila kitu mwanaume atabaki kuwa na maongezi ya kiume..popote ndio lugha na si maalum kwa wakike kusikia....
 
Asallam/aleykum kwa waislam na Bwana Yesu asifiwe.

Kaka zangu kwanza msinielewe vibaya lakini napenda kuwauliza mnajifikiriaje mnapotumia maneno ya kukera kwa kinadada ambao ni kama dadazenu au mama zenu nyumbani!

Unakuta binti anapita mnaanza HUYU NIMESHA MLA! HATA JAMAA AMESHA MGONGA! LIMEKAA POA KWAKUPIGA MITI! maneno ya ajabu ajabu tena kwa sauti, UMEMLA!! kawa samaki, jamani kiukweli mnatudharilisha kwani hakuna maneno mengine?

Mnajisikiaje katika nafsi zenu mtumiapo maneno hayo namengine! Mnatudharau, mnatutukana, au mnatusifia?

Mwenyezi Mungu awe nanyi Zuwenna
Hayo maneno wanatumia kwako sio kwa wenzio
 
Hayo maneno au maongezi ya kiume acha kuingilia utapasuka..usiingilie kila kitu mwanaume atabaki kuwa na maongezi ya kiume..popote ndio lugha na si maalum kwa wakike kusikia....
Maongezi ya kiume? Nafikiri hayo nimaongezi ya Wahuni , Mwanaume Mstaarabu hawezi kuongea upuuzi kama huo. Binafsi maneno kama hayo sipendelei ni upuuzi mtupu.
 
kwann na wewe wakutafune ovyo mpaka kila mtu ajitambe... kosa lako hapo!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom