Kina Kaka huwa mnajifikiriaje?

Kina Kaka huwa mnajifikiriaje?

Boys be like
Ebwana vp ushapiga mzigo pale?
_Nisha gonga tena mara 3
Vp yuko poa?
_ ah yuko poa sema gogo
Duh ila linaonekana liko poa kuliwa na lile tako?
_sana yani jitahidi mwanangu nawe utapiga easy tu yule m sipigi tena.
Poa mwana ngoja nikaze.
_Poa poa

Aahahaaaaaa
 
Zuwenna

Mweh! Hii post imenifurahisha kweli, ntakuongezea mengine da zuu,
1. Nimemkanyaga
2. Nimmepiga
3. Nimelamba

Nk
 
Last edited by a moderator:
Umenena Mkuu..

Kuna Wanawake Wanajionaga Matawi sanaaa na Hata Salamu hawatoi na wakitoa basi Wanaangalia Mbele tu utadhani Unasalimia Mti.. Sasa Wanawake kama Hao maneno hayo yanawafaa

Yaani kila nnapopita nisalimie?
Hee makubwa wavulana hawa wanaokaa vijiweni ukisalimia siku ya kwanza ya pili wanataka namba,
Bora Mtu ajipitie kimya tu.
 
Asallam/aleykum kwa waislam na Bwana Yesu asifiwe.

Kaka zangu kwanza msinielewe vibaya lakini napenda kuwauliza mnajifikiriaje mnapotumia maneno ya kukera kwa kinadada ambao ni kama dadazenu au mama zenu nyumbani!

Unakuta binti anapita mnaanza HUYU NIMESHA MLA! HATA JAMAA AMESHA MGONGA! LIMEKAA POA KWAKUPIGA MITI! maneno ya ajabu ajabu tena kwa sauti, UMEMLA!! kawa samaki, jamani kiukweli mnatudharilisha kwani hakuna maneno mengine?

Mnajisikiaje katika nafsi zenu mtumiapo maneno hayo namengine! Mnatudharau, mnatutukana, au mnatusifia?

Mwenyezi Mungu awe nanyi Zuwenna
aliyeambiwa hivyo ujue ni malaya sasa je ulishawahi kuambiwa hivyo!!!!
 
nimesha mgegeda mara kibao , mtoto ana mashine bomba we acha tu. yaani unapiga hadi hatrick bila kufuta.
 
Zuwenna

Pole sana zuwena maana nikwel hayo mambo yapo
Ila kama hutaki hizo kashifa kwa nini ugawegawe, maana ndio chanzo kinachoqapelekea wanaume kuyasema
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom