napita
ukiwa unajiheshimu kabisa hakuna mtu atakaye kusemea maneno kama hayo.
Ukiwa mpole, mstaarabu, mkarimu, unatumia lugha nzuri, unavaa nguo za heshima, unaheshimu wengine--nani atakayediliki kukuseme vibaya hivyooo?
kinyume na hapo tegemea maneno kama hayo
Sijapenda swari hilo
Boys be like
Ebwana vp ushapiga mzigo pale?
_Nisha gonga tena mara 3
Vp yuko poa?
_ ah yuko poa sema gogo
Duh ila linaonekana liko poa kuliwa na lile tako?
_sana yani jitahidi mwanangu nawe utapiga easy tu yule m sipigi tena.
Poa mwana ngoja nikaze.
_Poa poa