kina dada wafundeni wenzenu...!

kina dada wafundeni wenzenu...!

Maskini weeh! This is embarrassing!
attachment.php
 
FF, mie nikisikia mtu ana harufu kali ya udi ama perfume naskia kutapika kabisa! Nahisi kama ni camouflage ya kuficha uchafu. Tena na baibui refu limeteka vumbi kiasi chini (no offense meant) najiuliza huyu anabadili kila siku kweli hizi nguo? Napenda a cool fresh smelling scent ambayo hadi umkaribie mtu ndo anakusikia.
Anyways: hivi udi ni antiperspirant?
Halafu kuna wakuja wanaona ajabu watu wa mwambao tunavyojifukiza udi, laiti wangejuwa maana yake, wasingeitaja "deodorant", hizo ndio za kwanza kuharibu mazingira ya mwili.
 
FF, mie nikisikia mtu ana harufu kali ya udi ama perfume naskia kutapika kabisa! Nahisi kama ni camouflage ya kuficha uchafu. Tena na baibui refu limeteka vumbi kiasi chini (no offense meant) najiuliza huyu anabadili kila siku kweli hizi nguo? Napenda a cool fresh smelling scent ambayo hadi umkaribie mtu ndo anakusikia.
Anyways: hivi udi ni antiperspirant?
Nakubaliana na FF but at the same time naona ni sawa kuendelea na deo. antiperspirant inabadili balance ya mwili kuweza kucope na jasho. Ila hata kupiga mswaki ni same. Mate kama mate yanapunguza bacteria and when we brush we actualy go beyong the natural process. yule anae piga mswaki twice or trice a day is more likely kunuka mdomo kuliko yule anae piga once a day. But should we stop doing it trice a day?
Vile vile siwezi kuacha antiperspirant just because inaharibu balance ya mwili. Nitaitumia for as long as required! Si unaona balaa inayo wakuta walio sahau kutumia?
 
Ati kupiga mswaki 3+ times a day probably mdomo utanuka? Aisee, manake nna obsession ya kupiga mswaki! Nyakati hizi nadhani u just follow ur heart, na utamaduni wa watu wako wa karibu. Kuna mambo ukianza kuyafanya saa hizi itakuwa kudandia gari kwenye bonnet!
Nakubaliana na FF but at the same time naona ni sawa kuendelea na deo. antiperspirant inabadili balance ya mwili kuweza kucope na jasho. Ila hata kupiga mswaki ni same. Mate kama mate yanapunguza bacteria and when we brush we actualy go beyong the natural process. yule anae piga mswaki twice or trice a day is more likely kunuka mdomo kuliko yule anae piga once a day. But should we stop doing it trice a day?
Vile vile siwezi kuacha antiperspirant just because inaharibu balance ya mwili. Nitaitumia for as long as required! Si unaona balaa inayo wakuta walio sahau kutumia?
 
Dah ni ugonjwa tu nafikiri, ila unatakiwa umshukuru Mungu ukigundua kilema chako. Hasa huyo mwenye PINK namuonaga alivyo rafu lazima atakuwa mchafu sasa leo nimeprove my feelings were right about her.

Wanawake tujifunze kujipenda kupitiliza hiyo inassaidia kujistukia na kujirekebisha
 
ah me naona hao afadhali,kuliko wadada wengne hawanyoi nywele za makwapa,alaf wanavaa vnguo vyao kama vkaoshi,dah tabu inakuja anapopanda basi alaf amesimama then anashka chumaa,mwananguuu utataman kukmbia,wanawake n viumbe ambao hulka yao ni usafi,sa akiwa oppozt lazma m2 unashangaa....#kroho safi 2 wadada msimind.
 
................................................................ inabadili balance ya mwili kuweza kucope na jasho. Ila hata kupiga mswaki ni same. Mate kama mate yanapunguza bacteria and when we brush we actualy go beyong the natural process. yule anae piga mswaki twice or trice a day is more likely kunuka mdomo kuliko yule anae piga once a day. But should we stop doing it trice a day?
Nimeipenda hii..............kuna ukweli ndani yake 100% RR.
 
Deodorant mbona kuna hadi za 2000 jamani?
Ukikosa hata hiyo buku mbili.....unachukua ''ndimu/Limao'' unaikata katikati kipande kimoja unakisugulia kwapa moja na kingine vivyo ivyo...... unapotaka kuoga asubuhi harufu mbaya inaisha na majotro hayata kuwepo ''all day long''
 
Preta ina maana hujui utatuzi wa hilo tatizo kweli? Inawezekana wewe ni mmoja wao. Nyoa nywele za kwapa then napaka deodorant zinazo mask sweat, thats all.
 
FF, mie nikisikia mtu ana harufu kali ya udi ama perfume naskia kutapika kabisa! Nahisi kama ni camouflage ya kuficha uchafu. Tena na baibui refu limeteka vumbi kiasi chini (no offense meant) najiuliza huyu anabadili kila siku kweli hizi nguo? Napenda a cool fresh smelling scent ambayo hadi umkaribie mtu ndo anakusikia.
Anyways: hivi udi ni antiperspirant?

Udi uko kwa namna zake mama, wa mawardi waujua? una gharama zake. Halafu si wavaao mabaibui wana ujuwa udi lakini wengi wao wanajuwa namna ya kujitunz na usafi ni "part and parcel| ya Uislaam, kwa uchache twajitoharisha mara tano kwa siku.

Udi best ni ule wa asili, (miti) ni ghali sana na hapa kwetu unaitwa udi wa mawardi na haupatikani madukani labda uletewe zawadi Arabuni au Far East, huu unatoka Burma na ni ghali sana sana, gram moja inafika mpaka dollar 100, inategemea na quality, una unique, ukiupata tumia unieleze habari zake.

Kwa udi wa hapa wa kupika kuna udi unaitwa "udi l'karaha) huu ukichanganya katika kupika udi una ingredients zinazouwa kabisa bacteria wa harufu mbaya na unakausha jasho.

Usafi ni muhim, kwa mvaa baibui na asiye vaa babibui, cha kushangaza wengi hawaelewi kuwa baibui liko designed kukupa maximum comfort, na nguo zina matter, ukivaa viguo vya kubana kama huyo kijana hapo juu, una expect nini kama si kuwapa watu misemo?

Fikiria jeans ya kubana na harufu ya "ushuzi" unavyobaki halafu "compare" na baibui ambalo liko pana na wazi, utaipata picha kipi ni bora.
 
Mkorogo una haribu ngozi "pores" za jasho huwa wazi zaidi kwa mtu anaejikoroga, huwa na harufu mbaya zaidi kwani ana damage natural protection za bacteria kwa kiwango kikubwa.
 
Kwani lazima kina dada kuna nini cha ajabu hapo ambapo mwanaume hawezi kutoa ujuzi wake kwa faida ya wote.

Pili kila mtu anasweat na inawezekana kabisa ametoka nyumbani ameoga ,tatizo ni hiyo nguo aliyovaa material na rangi yake,au katembea mda mrefu,au hapo alipo kuna joto.
Lakini haina maana ndio mchafu sijui hajalelewa vizuri kama wengine walivyojidai kuonyesha hapo juu.
 
Kwani lazima kina dada kuna nini cha ajabu hapo ambapo mwanaume hawezi kutoa ujuzi wake kwa faida ya wote.

Pili kila mtu anasweat na inawezekana kabisa ametoka nyumbani ameoga ,tatizo ni hiyo nguo aliyovaa material na rangi yake,au katembea mda mrefu,au hapo alipo kuna joto.
Lakini haina maana ndio mchafu sijui hajalelewa vizuri kama wengine walivyojidai kuonyesha hapo juu.
Hoja yako inauzito kiasi fulani. Ukimwangalia huyo mwanaume kichwani karibu na jicho utaona kama ana sweat vile. Nahisi hiyo sehemu ina joto kali!
 
Preta, Lizzy, kama hawawezi kutumia antiperspirant deo (zipo hata za tsh 10 000) basi wavae nguo ambazo hazioneshi hizo traces, kama huyo alievaa saa ya kiume. It's somewhat disgusting.

Ndio maana huwa ninakuzimia kimya kimya...usicheze na warusi bana ala..
 
Nashangaa, vitu vingine watu hupenda kujisemea utadhani mama zao/dada/na watoto wao hawatoki jasho......!!

Hata usiwaulize, walivyolewa uzungu watakuambia kuna surgery sijui Boston ya kufanya usitoke jasho.....!!

teh teh teh teh...
 
Nashangaa, vitu vingine watu hupenda kujisemea utadhani mama zao/dada/na watoto wao hawatoki jasho......!!

Hata usiwaulize, walivyolewa uzungu watakuambia kuna surgery sijui Boston ya kufanya usitoke jasho.....!!

teh teh teh teh...
 
Back
Top Bottom