Lucchese DeCavalcante
JF-Expert Member
- Jan 10, 2009
- 5,471
- 734
Umenena kaka, dada zetu ni watu wa ajabu sana hawapendi kuwa wakweli na kukubali changamoto mmeulizwa hayo mawigi ya nini wakati una nywele nzuri na za asili? Mikucha ya kubandika ya nini? Mikorogo ya nini? Je uzaliwa na vijikorombezo hivi feki? Semeni ukweli tena wengine unakuta mpenzi wako alikuwa anavaa chupi za pamba safi kabisa lakini ghafla unamuona anaanza kuvaa bikini na thongs kuna nini hapo? Mie ningependa niwe mkwrli wanawake au mabinti tunawapenda sana na hatuwezi ishi bila wao but my dada once told me " Never trust a any woman and you will always be happy"