Kina dada, this is too much

The Evil Genius

JF-Expert Member
Joined
Mar 21, 2014
Posts
6,151
Reaction score
20,065
Kina dada this is too much, hata kama ni kupiga mizinga hii imezidi, hii sio mizinga sasa ni makombora ya masafa marefu.

Mtu hamjawahi kuonana mmekutana kwenye mitandao,mnapanga kukutana alafu muda mchache kabla hamjakutana unaraise invoice ya ajabu ajabu,mara gari haina mafuta kama unaweza niwezeshe,mara simu imeharibika kama unaweza nisaidie niipeleke kwa fundi nije.

Unakubali vipi mtoko kwenda kuonana na mtu ambae hamjawahi kukutana huku gari haina mafuta.

Kwangu mimi kabla hatujaonana hata kumi sitoi, tukishaonana hata useme ndege imeisha mafuta natuma hela za kujaza ndege mafuta.
 
Wanawake na Maendelea... wanataka kusonga mbele...

Ila pia inategemea umemtongoza kwa gear gani...
 
Haha...
 
Sasa hao wanaokupiga hiyo ni mizinga ni memba wa hapa au unataka kutuchosha tu? Leo ni jumapili ebo!!!
 
Mnajua wanaowapiga mzinga usikute hawapiti humu,mnakuja kulalamika huku haisaidii mwambie huko huko...humu kwa mnavyotusakama hivi bado kuna mtu anawaomba vihela vyenu tu...muwe mnawaambia huko huko bana
Sasa hao wanaokupiga hiyo ni mizinga ni memba wa hapa au unataka kutuchosha tu? Leo ni jumapili ebo!!!
Huwezi jua labda wamo humu kama members au guests......
 
Promo @ Work.

Umelenga mle mle...
 
Huwezi jua labda wamo humu kama members au guests......
Kwa michambo tunayopewa daily hawawezi kuwa humu...au watakua wagumu sana sijui labda

We Dada unayeomba omba hela za watu humu acha basi,khaa
 
Mwingine ili muonane anakwambia umnunulie kwanza smart phone ndo muonane, yani ni shida.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…