Na jana kaniambia hajawahi kumkubali mwanaume yoyote..., nafikiri nisikae tuu bai nami niwe napiga step mojamoja kwake.Kwa hizo dalili inaojionesha dhahiri kuwa amekuchagua,ndo maana anasema mwingine hawezi.
Ila mkuu vuta subira si unajua mambo mazuri hayataki.......,