Kina dada acheni unafiki

Hahaha kuna namna apa.
 
Hili ni tatizo, tena kubwa. Nami nakupa pole sana mleta mada
Kama umefikiria kufananisha maisha ya binadamu na mifungo, kama kuku, na kuona sawa.

Je, wataka kusema maisha ya mifugo kumpanda mzazi wake au mwanae kwa binadamu ni sawa?
 
Kuwa jogoo tu nawe ukafaidi.
Kuna sababu iliyopelekea binadamu ukatofautishwa na wanyama 'utashi'sasa kama imefikia hatua unatamani kuwa mnyama basi hali ni tete.
 
Kuna waliooa wa4 na bado wanachepuka, hao pia sijui wanawaongeleaje?
 
wakristo wapo kupinga maagizo ya Mwenyezi Mungu siku zote inhali wanaishi kwa unafiki.Mwanaume hawezi kuwa na mke mmoja maishani
yaani mwanaume amuingilie mwanamke mmoja tu adhabu yake ni moto wa milele jehanamu
Mhhhh
 
aisee e
wakristo wapo kupinga maagizo ya Mwenyezi Mungu siku zote inhali wanaishi kwa unafiki.Mwanaume hawezi kuwa na mke mmoja maishani
yaani mwanaume amuingilie mwanamke mmoja tu adhabu yake ni moto wa milele jehanamu
ebu shika adabu yako hapo kwenye UDINI utaingia kitanzini sasaivi.... si kila jambo lazima uchangie mengine unapita tu km huna jipya.
 
exa
ctly huyu ataluwa na homon za MBWA
 
mtoa mada nakuhurumia sana una homon za binadamu 10% na za wanyama 90% hivo usiipotoshe jamii kwa uathirika ulio nao.
 
Husifananishe kuku na binadamu!
Ukiwa na akili hiyo basi usidhani kua na mkeo atakua na jogoo mmoja tu. Idadi ya wanawake na wanaume duniani imepishana kidogo tu, sa piga mahesabu kwa mfano tu... Kukiwa na wanawake kumi na tano na wanaume kumi, kila mwanaume akiwa na wanawake watatu, unadhani wanawake watakaokua na mwanaume mmoja watabaki wangapi?
 
nilikuja huku kutafuta mume wa kunioa mke wa pili nikarushiwa mawe mimi ni mwanamke ninaeunga mkono ndoa za kiislam za wake wengi
Nilivomuelewa huyu ndugu ninkwamba anazungumzia michepuko na sio ndoa! Ama nimekosea!?
 
Mwanaume huwezi kua na mwanamke mmoja sio mama yako. Unafiki ni mbaya sana heri sisi ambao tunasema mungu hayupo kuliko wanafiki wanaosema mungu yupo na hawafuati maagizo yake ya kuwataka kua na mwanake mmoja na mmoja pekee.
Sasa kuoa wake wengi ndo kumjuaa mungu hakuna anaejuaa we amini unacho kiamini mungu ndo atatoaa maamuzi cku ya mwishooo yupi yupo sahihi yupi ameenda kinyumbe plz wait and see
 
Mkuuu umenenaa wengine wanacomenti huku akili ikiwa chini ya kitovuu
 
Wanawake wengi wa nn wakati nyama ni ile ile mtamaliza mabucha bure!!
 
Mim nataka kua na wanawake wengi na watoto wengi ili nianzishe ukoo wangu kama walivyofanya wazee wa zamani.Umate mate tu ndo bado haujakaa sawa.
 
Hili ni tatizo, tena kubwa. Nami nakupa pole sana mleta mada
Kama umefikiria kufananisha maisha ya binadamu na mifungo, kama kuku, na kuona sawa.

Je, wataka kusema maisha ya mifugo kumpanda mzazi wake au mwanae kwa binadamu ni sawa?
huyu anaweza kufanya hivyo kwa hatua alio fikia mana so asanehewe bure tu japo wapo wa aina hii.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…