Kina Baba /mama kaka / dada eti hii ni kweli?

FirstLady1

JF-Expert Member
Jul 29, 2009
16,792
5,374
Heshima kwenu wenu
Nilikuwa napita ofisi moja nikakuta mada inaendelea ikabidi nivute kitu nipate mawili matatu ,ingawa nimeondoka na swali kichwani.
Eti long distance mwanaume unapoondoka na kwenda mbali siku zinavyokwenda ndivyo unazidi kumpenda mke /gf wako ...Ingawa unaweza kujikuta umeanzaisha mahusiano na ladies wengine..hiyo si sababu kuwa humpendi wife or GF wako bali ni tamaa za mwili tu ndo zinafanya iwe hivyo?

Na upande wetu kina mama /kina dada eti siku za mwanzo tunakuwa na penzi zito kwa wenza wetu lakini siku zinavyokwenda ndivyo mapenzi yanavyozidi kupungua?
Kama hujaolewa unaweza kuanza mahusiano mengine na hatimaye kuolewa na mtu mwingine pasipo kusubiri wakati jamaa yeye anakusubiri?
Nawasilisha !
 
Hizi assumptions kazi kweli 1st L , Personally naamini mapenzi ya Long distance si mazuri kabisa - for you as a couple to grow and mature ni vizuri mkiwa wote. Na kuhusu the guys wanaume wengi ambao nimeona, akidhubutu kuenda maeneo mbali sana na wewe the wife anagundua unafuu alonao and freedom pia. Haoni shida kukutumia pesa ya kutosha kila mwisho wa mwezi but muendelee kuishi hivyo hivyo kama mke na mume. Ndo pale ikipita muda una tahamaki tayari ana mwanamke na anaishi nae - wewe kuweza kumrudisha inakua kazi. Hawa kaka zetu single atakukumbuka kwa masliano every now and then mpaka ampate wa kumchanganya but si wote...

Kwa most wadada mwenza anapo kua mbali akiwa ni mume she is secure na bado mapenzi yapo, kama ni galfriend tu - shughuli inakua hapo mana akipata mkaka mwingine ambae ana potential na zimezidi kwa the boyfriend, kumpoteza ni rahisi.... Labda kama relationship iko strong, au hio long distance ni temporary na mda mfupi....
 
Kila siku huwa nafundisha vijana kuwa "Once and a while" mkiwa kwenye ndoa ni vizuri kutengeneza "distance" - say - mwanaume unatakiwa at least in two months chukua safari ya kukaa nje ya familia yako for at least three days - or - hata mwanamke pia (if possible!).. Unapokuwa mbali na familia yako (kwa wanaume) una-tend kuwa na fikra chanya na za kimaendeleo kuhusu familia yako - equally unakuwa unatengeneza mazingira ya ku-evaluate mahusiano yako na mwenza wako..

Honestly - day in & day out - sebule ile ile, kitanda kile kile, bajaji ile ile, sahani zile zile, vikombe vile vile, na mwenzi pembeni - inachosa sana akili but uwa tunakuwa wanafiki tu! kwa wale wanaume wanaopata kinywaji angalau "space" inakuwepo, lakini wale wa kutoka nyumbani kazini na kutoka kazini nyumbani mnawapa kero wake zenu - nyie hamjui tu!

Ni kweli, mwanamke mnavyozidi kuishi wote, the so called "mapenzi" yanazoeleka na siyo kupungua - kwa maana matendo yote yanayotengeneza au yanayotimilisha "mapenzi" yanakuwa ni "routine" - "Appreciation" kutoka kwa mme inakuwa hamna maana hakuna "jipya" and as the result mwanamke anaanza kuona ni "business as usual"... Kufuliwa nguo, kuandaliwa chakula, kukukaribishwa nyumbani, mabusu tele tele, kupigiwa simu mara kwa mara, e.t.c vinakuwa ni vitu visivyokuwa na msisimuko anymore! And therefore kwa kipimo cha kawaida cha mapenzi kunakuwa na "diminishing return"! Mapenzi yamekwisha siku hizi by Banana Zoro...
 
Suala la mapenzi kupungua kwa upande wangu naweza sema ni kweli.....nachoka mtu haraka sana hata kama nilimpenda sana mwanzoni....ila kwasababu moja au nyingine uhusiano tu unaendelea,na anaposema anasafiri moyo wangu huwa unasuuzika kwa kuwa nitapata kum miss kidogo which is a good thing.....:bange:
 
FL1 mie kwa mtazamo wangu naona kwa wamama/dada ni tofauti kidogo mwanzo mapenzi yanakuwa mazito mno hata siku jamaa anaaga kuwa anasafiri for a year or less ataona dunia imemuangukia jamaa nae ataumia sana atatamani kucancel ticket, wiki mbili zijazo hali itakuwa tofauti baina yao mdada atakuwa karibu sana na simu yake while mkaka atakuwa busy kidogo ofcourse ameenda sehemu ngeni anajipanga, baada ya mwezi mmoja inakuwa tofauti mkaka anakuwa karibu na simu yake but mdada yuko busy ukiona hivyo ujue upweke unagonga hodi na anatafuta pakujichanganya, hapo ndipo vurugu mechi inaazia.
 
Baba_Enock nimeipenda, itabidi nimshauri huby asafiri kidogo angalau 2 weeks.... miezi miwili ah ah!
 
Kila siku huwa nafundisha vijana kuwa "Once and a while" mkiwa kwenye ndoa ni vizuri kutengeneza "distance" - say - mwanaume unatakiwa at least in two months chukua safari ya kukaa nje ya familia yako for at least three days - or - hata mwanamke pia (if possible!).. Unapokuwa mbali na familia yako (kwa wanaume) una-tend kuwa na fikra chanya na za kimaendeleo kuhusu familia yako - equally unakuwa unatengeneza mazingira ya ku-evaluate mahusiano yako na mwenza wako..

Honestly - day in & day out - sebule ile ile, kitanda kile kile, bajaji ile ile, sahani zile zile, vikombe vile vile, na mwenzi pembeni - inachosa sana akili but uwa tunakuwa wanafiki tu! kwa wale wanaume wanaopata kinywaji angalau "space" inakuwepo, lakini wale wa kutoka nyumbani kazini na kutoka kazini nyumbani mnawapa kero wake zenu - nyie hamjui tu!

Ni kweli, mwanamke mnavyozidi kuishi wote, the so called "mapenzi" yanazoeleka na siyo kupungua - kwa maana matendo yote yanayotengeneza au yanayotimilisha "mapenzi" yanakuwa ni "routine" - "Appreciation" kutoka kwa mme inakuwa hamna maana hakuna "jipya" and as the result mwanamke anaanza kuona ni "business as usual"... Kufuliwa nguo, kuandaliwa chakula, kukukaribishwa nyumbani, mabusu tele tele, kupigiwa simu mara kwa mara, e.t.c vinakuwa ni vitu visivyokuwa na msisimuko anymore! And therefore kwa kipimo cha kawaida cha mapenzi kunakuwa na "diminishing return"! Mapenzi yamekwisha siku hizi by Banana Zoro...

Routine (hata ikiwa ni nzuri sana) inakua kero asee....
Thinking loud, kama mbinguni ni routine basi ni bora motoni....
 
Kila siku huwa nafundisha vijana kuwa "Once and a while" mkiwa kwenye ndoa ni vizuri kutengeneza "distance" - say - mwanaume unatakiwa at least in two months chukua safari ya kukaa nje ya familia yako for at least three days - or - hata mwanamke pia (if possible!).. Unapokuwa mbali na familia yako (kwa wanaume) una-tend kuwa na fikra chanya na za kimaendeleo kuhusu familia yako - equally unakuwa unatengeneza mazingira ya ku-evaluate mahusiano yako na mwenza wako..

Honestly - day in & day out - sebule ile ile, kitanda kile kile, bajaji ile ile, sahani zile zile, vikombe vile vile, na mwenzi pembeni - inachosa sana akili but uwa tunakuwa wanafiki tu! kwa wale wanaume wanaopata kinywaji angalau "space" inakuwepo, lakini wale wa kutoka nyumbani kazini na kutoka kazini nyumbani mnawapa kero wake zenu - nyie hamjui tu!

Ni kweli, mwanamke mnavyozidi kuishi wote, the so called "mapenzi" yanazoeleka na siyo kupungua - kwa maana matendo yote yanayotengeneza au yanayotimilisha "mapenzi" yanakuwa ni "routine" - "Appreciation" kutoka kwa mme inakuwa hamna maana hakuna "jipya" and as the result mwanamke anaanza kuona ni "business as usual"... Kufuliwa nguo, kuandaliwa chakula, kukukaribishwa nyumbani, mabusu tele tele, kupigiwa simu mara kwa mara, e.t.c vinakuwa ni vitu visivyokuwa na msisimuko anymore! And therefore kwa kipimo cha kawaida cha mapenzi kunakuwa na "diminishing return"! Mapenzi yamekwisha siku hizi by Banana Zoro...

this one has been noted!....
 
Hizi assumptions kazi kweli 1st L , Personally naamini mapenzi ya Long distance si mazuri kabisa - for you as a couple to grow and mature ni vizuri mkiwa wote. Na kuhusu the guys wanaume wengi ambao nimeona, akidhubutu kuenda maeneo mbali sana na wewe the wife anagundua unafuu alonao and freedom pia. Haoni shida kukutumia pesa ya kutosha kila mwisho wa mwezi but muendelee kuishi hivyo hivyo kama mke na mume. Ndo pale ikipita muda una tahamaki tayari ana mwanamke na anaishi nae - wewe kuweza kumrudisha inakua kazi. Hawa kaka zetu single atakukumbuka kwa masliano every now and then mpaka ampate wa kumchanganya but si wote...

Kwa most wadada mwenza anapo kua mbali akiwa ni mume she is secure na bado mapenzi yapo, kama ni galfriend tu - shughuli inakua hapo mana akipata mkaka mwingine ambae ana potential na zimezidi kwa the boyfriend, kumpoteza ni rahisi.... Labda kama relationship iko strong, au hio long distance ni temporary na mda mfupi....

lol.. naona mimi umenisahau kuwa nipo ndani ya jahazi wanaoamini hivyo pia,
Mapenzi ya mbali uzuri wake upi??, au yanaongelewa mapenzi ya kitamthilia na kimuvi??.

Haya yaliyojaa matamanio ili hali una mke wako pamoja 24/7???,na bado anatamani?
je ukiwa mbali itakuwaje??, na umbali kwa muda gani?,kwa sababu ??,

Haya ngoja niendelee kusoma hapa chini labda ntaelewa zaidi,
manake nalo hili bongo langu zito kwelikweli kuelewa mambo,
pamoja na kula sana nanasi lakin wapi? hainisaidii, lazima nilishughulikie hili tatizo langu haraka iwezekanavyo la sivyo mi nitakuwa wa mwisho kila siku kuelewa na kupata majibu...lol
 
Kila siku huwa nafundisha vijana kuwa "Once and a while" mkiwa kwenye ndoa ni vizuri kutengeneza "distance" - say - mwanaume unatakiwa at least in two months chukua safari ya kukaa nje ya familia yako for at least three days - or - hata mwanamke pia (if possible!).. Unapokuwa mbali na familia yako (kwa wanaume) una-tend kuwa na fikra chanya na za kimaendeleo kuhusu familia yako - equally unakuwa unatengeneza mazingira ya ku-evaluate mahusiano yako na mwenza wako..

Honestly - day in & day out - sebule ile ile, kitanda kile kile, bajaji ile ile, sahani zile zile, vikombe vile vile, na mwenzi pembeni - inachosa sana akili but uwa tunakuwa wanafiki tu! kwa wale wanaume wanaopata kinywaji angalau "space" inakuwepo, lakini wale wa kutoka nyumbani kazini na kutoka kazini nyumbani mnawapa kero wake zenu - nyie hamjui tu!

Ni kweli, mwanamke mnavyozidi kuishi wote, the so called "mapenzi" yanazoeleka na siyo kupungua - kwa maana matendo yote yanayotengeneza au yanayotimilisha "mapenzi" yanakuwa ni "routine" - "Appreciation" kutoka kwa mme inakuwa hamna maana hakuna "jipya" and as the result mwanamke anaanza kuona ni "business as usual"... Kufuliwa nguo, kuandaliwa chakula, kukukaribishwa nyumbani, mabusu tele tele, kupigiwa simu mara kwa mara, e.t.c vinakuwa ni vitu visivyokuwa na msisimuko anymore! And therefore kwa kipimo cha kawaida cha mapenzi kunakuwa na "diminishing return"! Mapenzi yamekwisha siku hizi by Banana Zoro...

Hapo penye bold pamenikuna kweli kweli.......Asante,
 
Kila siku huwa nafundisha vijana kuwa "Once and a while" mkiwa kwenye ndoa ni vizuri kutengeneza "distance" - say - mwanaume unatakiwa at least in two months chukua safari ya kukaa nje ya familia yako for at least three days - or - hata mwanamke pia (if possible!).. Unapokuwa mbali na familia yako (kwa wanaume) una-tend kuwa na fikra chanya na za kimaendeleo kuhusu familia yako - equally unakuwa unatengeneza mazingira ya ku-evaluate mahusiano yako na mwenza wako..

Honestly - day in & day out - sebule ile ile, kitanda kile kile, bajaji ile ile, sahani zile zile, vikombe vile vile, na mwenzi pembeni - inachosa sana akili but uwa tunakuwa wanafiki tu! kwa wale wanaume wanaopata kinywaji angalau "space" inakuwepo, lakini wale wa kutoka nyumbani kazini na kutoka kazini nyumbani mnawapa kero wake zenu - nyie hamjui tu!

Ni kweli, mwanamke mnavyozidi kuishi wote, the so called "mapenzi" yanazoeleka na siyo kupungua - kwa maana matendo yote yanayotengeneza au yanayotimilisha "mapenzi" yanakuwa ni "routine" - "Appreciation" kutoka kwa mme inakuwa hamna maana hakuna "jipya" and as the result mwanamke anaanza kuona ni "business as usual"... Kufuliwa nguo, kuandaliwa chakula, kukukaribishwa nyumbani, mabusu tele tele, kupigiwa simu mara kwa mara, e.t.c vinakuwa ni vitu visivyokuwa na msisimuko anymore! And therefore kwa kipimo cha kawaida cha mapenzi kunakuwa na "diminishing return"! Mapenzi yamekwisha siku hizi by Banana Zoro...
Skulimeti.

My wife has to read this valuable material. I have just printed it.

Halafu pale kwa Jonista una bia zako nne nshazilipia.
 
Back
Top Bottom