FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,792
- 5,374
Heshima kwenu wenu
Nilikuwa napita ofisi moja nikakuta mada inaendelea ikabidi nivute kitu nipate mawili matatu ,ingawa nimeondoka na swali kichwani.
Eti long distance mwanaume unapoondoka na kwenda mbali siku zinavyokwenda ndivyo unazidi kumpenda mke /gf wako ...Ingawa unaweza kujikuta umeanzaisha mahusiano na ladies wengine..hiyo si sababu kuwa humpendi wife or GF wako bali ni tamaa za mwili tu ndo zinafanya iwe hivyo?
Na upande wetu kina mama /kina dada eti siku za mwanzo tunakuwa na penzi zito kwa wenza wetu lakini siku zinavyokwenda ndivyo mapenzi yanavyozidi kupungua?
Kama hujaolewa unaweza kuanza mahusiano mengine na hatimaye kuolewa na mtu mwingine pasipo kusubiri wakati jamaa yeye anakusubiri?
Nawasilisha !
Nilikuwa napita ofisi moja nikakuta mada inaendelea ikabidi nivute kitu nipate mawili matatu ,ingawa nimeondoka na swali kichwani.
Eti long distance mwanaume unapoondoka na kwenda mbali siku zinavyokwenda ndivyo unazidi kumpenda mke /gf wako ...Ingawa unaweza kujikuta umeanzaisha mahusiano na ladies wengine..hiyo si sababu kuwa humpendi wife or GF wako bali ni tamaa za mwili tu ndo zinafanya iwe hivyo?
Na upande wetu kina mama /kina dada eti siku za mwanzo tunakuwa na penzi zito kwa wenza wetu lakini siku zinavyokwenda ndivyo mapenzi yanavyozidi kupungua?
Kama hujaolewa unaweza kuanza mahusiano mengine na hatimaye kuolewa na mtu mwingine pasipo kusubiri wakati jamaa yeye anakusubiri?
Nawasilisha !