Kimya Hiki, Is Not Right!, There Must Be Something Wrong Somewhere! Or Am, I Wrong!?


Nilichogundua ni kuwa watu wanapenda sana kumsikia kila mara. Akiwa kimya akifanya kazi hawaamini mpaka wamsikie. Hivyo hii inatoa picha kwamba anapendwa sana na wananchi licha ya wanaharakati wa humu kumpigia kelele.
 

Uzi huu unadhihirisha kwamba bado sisi hatuamini katika mfumo. Mnataka kila jambo na kila kitu lazima yeye pekee aongee. Sasa zile kelele za kusema ajenge mfumo, kwamba anafanya kazi zote peke yake, au anaingilia taasisi nyingine kumbe hazina maana tena. Kumbe shauku yetu na maridhiko yetu ni kumsikia yeye pekee na si zaidi yake!

Watanzania aliyeturoga alishakufa siku nyingi. Hatujui tunataka nini mpaka sasa.
 
Sasa ndugu Pasco, mimi unataka nitokeje? Nilishasema siitaji msaada na si usiki na kutoa fidia kwa waanga wa nchi hii.

Nitatoka baada ya michango kutosha pamoja na waanga kupona kabisa. Kazi njema
 
Pasco unanifurahisha huna tofauti na kinyonga.Ukipata tenda serikalini na mashirika yake unakuwa CCM kwa muda.Tenda ziikiisha unarudi kule UKAWA ulikokuwa kwa Lowasa.

Haya PASCO

Anayepata tenda serikalini ni Paschal Mayala na sio Pasco wa jf
Pasco wa jf hategemei tenda zenu na wala haitaji nafasi zenu za uteuzi manake mshahara wake na ofisi yake ni zaidi ya cheo cha mkuu wa wilaya nchi hii.....teh teh
 
Post za kizushi
 
Kwenye tukio kubwa kama ili hakuna suala la kukurupuka na kutoa matamko.unatakiwa kutenda kwa hiyo kama auna uwezo huo .nikupiga kimya na kutuma salaam za pole kwa mbaliii.au labda imepidi azuiwe kwenda ili asijekuta ametoa tamko kuagiza mkuu Wa mkoa ahakikishe tetemeko alitokei tena vinginevyo kazi hanaa
 
Akizungumza, Mara oh anakurupuka etc. Safi sana JPM maneno machache vitendo lukuki.
 
Pasco, ukiona kimya ujue serikali haina kitu na iko hoi kifedha. Hushangai kwamba serikali inahangaika kuomba michango kwa wafanyabiashara na Mabalozi?

Inaonekana hata madawa hakuna maana hatujaona wala kusikia kuwa shehena za madawa na misaada ya kibanamu kutoka serikalini.

Kama chanjo tu ktk hospitali za serikali ni taabu, hizo dawa na misaada mikubwa ya kibanadamu kama chakula na mahema zitawezekanaje kupatikana kwa urahisi.

Mbaya zaidi ni kuona matumizi yasiyo ya lazima kupambana na UKUTA mwezi uliopita, mazoezi ya maonyesho ya nguvu za dola -Polisi na kurusha midege vita. Wakati huu ilipaswa JWTZ wawe wamefika eneo la maafa kikamilifu kusaidia operation ya kuokoa, kusaidia waathirika na kugawa misaada.

Vv
 
Nilichogundua ni kuwa watu wanapenda sana kumsikia kila mara. Akiwa kimya akifanya kazi hawaamini mpaka wamsikie. Hivyo hii inatoa picha kwamba anapendwa sana na wananchi licha ya wanaharakati wa humu kumpigia kelele.
Sio tunapenda ila ametuzoesha kutenda kwa kutumia matamko na kama vipi tunayatolea nje.
 
Kimya kingi kina mshindo
Kuna magugu kwenye system na ni wakati muafuaka wa kuyaondoa --- expect a purge! huoni hela za madili hamna!!! hence vita kila kona ili madili yaanze tena BUT kwa msaada wa Mwenyezi Mungu hawamwezi kiongozi wetu.
 
Unaua mfumo kwa matamko alafu utegemee ubakiwe na mfumo !!??
 
Mkuu Pasco unataka tamko la mtu binafsi au la Serikali? Baada ya jibu lako nitaendelea!
 
Pasco umetumwa Mkuu kutega watu ?
Nani anataka kuitwa Kisutu ???
 
Nafikiri kuna mahali pesa zilitakiwa zihamishwe ili kumpandisha mtu chati lakini washika dau kwa kutumia intelligensia yao wakatonyo hakuna tena pesa zinazo hang zisizohitaji kutolewa jasho kwanza.
Zimekuwa zikitafutwa ili jamaa akashangiliwe jukwaani lakini bado.
Hata hivyo sasa zikipatijkana mtu atapanda jukwaani japo ashachuja kwa hii issue.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…