Kimya cha Wizara ya Mambo ya nchi za nje & Ubalozi wetu Qatar tukitafsiri vipi?

You may be less informed
We ndo utakuwa less informed!! Sio kwamba kuna uhaba wa chakula bali kuna panic ya huenda KUKATOKEA uhaba wa chakula baada ya kuonekana supermarkets zimefurika watu wakinunua chakula kwa wingi kuliko ilivyo kawaida.

Hofu hii ya wananchi inatokana na ukweli kwamba over 95% ya chakula cha Qatar kinaagizwa kutoka nje!!!

But all in all, ni ngumu kwa Qatar kuwa na uhaba wa chakula... labda kupanda kwa bei za vyakula! Nchi yenyewe hata watu 3 milioni hawafiki na miongoni mwao wa-Qatar hawafiki hata 500K. Zaidi ya 80% ya wakazi wa Qatar ni wageni. Bei zinaweza kupanda kwa sababu watalazimika kubadili export routes though ripoti ya FBI inaweza kumaliza mgogoro wenyewe!!!
 
Kutunishiana misuli kwa saudia na iran qatar wanaumia. Ushia na Usunni nani zaidi?


Na washawasha!
Hakuna cha u-Sunni na u-Shia hapo... it's just politics. Saudi Arabia ni Sunni na majority ya wa-Qatar nao ni Sunni vile vile. Na ninaposema majority; ni majority by wider margin.
 
Qatar ndio kuna base kubwa ya jeshi la marekani kwa middle east yote. So hakuna wakugusa Qatar na hizo habari za uzushi tu.
 
Kituo cha televisheni kinaelezea kuwa kuwa uwezekano mkubwa kuwa nchi ya Qatar ikapinduliwa na akina Saudi Arabia, UAE na Misri ambazo zimefunga mipaka yao na pia kuzuia ndege za Qatar kupita kwenye anga zao (tazama picha hapo chini) na hii imepelekea Qatar kutumia anga ya Iran

Pia kutokana na uhaba wa chakula Qatar kuna uwezekano kukatokea vurugu ambavyo waataoathirika ni wageni na watanzania wanaofanya kazi huko.

Sasa kwa nini mpaka sasa hivi hakuna taarifa yoyote ile toka wizara ya mambo ya nchi za nje na Ubalozi wetu uliopo Qatar kuhusu hali iliopo Qatar na wa Tanzania waliopo huko watasaidiwaje?

Nchi zingine za Africa zishaanza mipango ya kuwaondoa raia wao toka Qatar sisi huku kwetu tumekuwa kimya...Kimya toka Ikulu, Wizara ya nchi za Nje, Ubalozi wetu Qatar na idara zinginezo.

Pia najiuliza hivi tushafanya jitihada zipi kujua mahusiano ya Kijeshi, kiplomasia, kibiashara na ki jamii tuliyonayo na Qatar yataathirika vipi kama Serikali yao ikipinduliwa?

Hiki kimya toka kwa hawa watawala wetu tukitafsiri vipi?



View attachment 520387 View attachment 520382

View attachment 520382
Ugomvi wao ww mtanzania inakuhsu nn? kumbuka sisi tupo ktk nchi ambazo hazifungamani na nchi zngne....tupo kama tulvyo, so yanayotokea uko ni msukumo wa marekani sis brother hautuusu
 
Bora hali ikae sawa huko middle east maana athari zake zitatutesa wote. Kama ilivyo sasa mpaka wauza chawarma kkoo ni wasyiria ambao zamani nchi yao ilikuwa na amani hawakutapakaa duniani
 
Kituo cha televisheni kinaelezea kuwa kuwa uwezekano mkubwa kuwa nchi ya Qatar ikapinduliwa na akina Saudi Arabia, UAE na Misri ambazo zimefunga mipaka yao na pia kuzuia ndege za Qatar kupita kwenye anga zao (tazama picha hapo chini) na hii imepelekea Qatar kutumia anga ya Iran

Pia kutokana na uhaba wa chakula Qatar kuna uwezekano kukatokea vurugu ambavyo waataoathirika ni wageni na watanzania wanaofanya kazi huko.

Sasa kwa nini mpaka sasa hivi hakuna taarifa yoyote ile toka wizara ya mambo ya nchi za nje na Ubalozi wetu uliopo Qatar kuhusu hali iliopo Qatar na wa Tanzania waliopo huko watasaidiwaje?

Nchi zingine za Africa zishaanza mipango ya kuwaondoa raia wao toka Qatar sisi huku kwetu tumekuwa kimya...Kimya toka Ikulu, Wizara ya nchi za Nje, Ubalozi wetu Qatar na idara zinginezo.

Pia najiuliza hivi tushafanya jitihada zipi kujua mahusiano ya Kijeshi, kiplomasia, kibiashara na ki jamii tuliyonayo na Qatar yataathirika vipi kama Serikali yao ikipinduliwa?

Hiki kimya toka kwa hawa watawala wetu tukitafsiri vipi?



View attachment 520387 View attachment 520382

View attachment 520382
Mawasiliano ya Wizara
 
H
Mkuu hujui kuna siege??? Ssa kma imezungukwa na nchi za kiarab maadui kwenye mipaka yote na anga limefungwa hicho chakula kitasustain mpaka lini??? Supply mpya zitapitia wapi???
Hao jamaa wako vizuri kaka, hela ipo ya kutosha. Pili Iran na turkey wenyewe wako Teyari kupeleka chakula anytime...
 
Mmmelezea vizuri sana hili suala lakini tusishau kuwa hizo nchi za GCC ambazo zimekata mahusiano na Qatar are our key trading, investment and development partners. Pia msisahau kuwa GCC is important destination of our agricultural produce and a key employment destination al be it wafanya kazi wa ndani na baadhi ni wako kwenye industries mbali mbali. Tanzania must, therefore, tread with caution in her handling of the GCC diplomatic crisis

I'm sure our no 1 Diplomat,( Mahiga is level headed na foreign inaongozwa na watu wenye weledi) hivyo we must place our interests first and ask ourselves how much it will cost to cut ties with Qatar ambao evidence zinaonyesha hawana matatizo ya kufanya investments Africa unlike Saudi Arabia.

Pia tusijisahau kuwa there's also a real possibility that we could be dealing with an terrorist funder from the Middle East.
 
STATE DEPT vs WHITE HOUSE

DDXf112XUAER71Q.jpg
 
Chakula tele wanapata toka Iran na Turkey. Bado wako vizuri hawa. Saudi Arabia, Egypt, Bahrain na UAE walidhani vikwazo vyao uchwara vitaitikisa hii nchi. Waliitikisa kwa siku chache tu na masharti yao 13 ambayo wanataka Qatar wayatekeleze kabla ya kukaa mezani ili kufanya mazungumzo, Qatar wameyakataa wamewaambia kama mnataka mazungumzo shurti muondoe masharti yenu. We'll see who'll blink first.

Chakula chote wana import sasa kama neighbour country zimeleta mgomo utakula GDP yako?
 
Back
Top Bottom