Kimeo

jamaa inaonekana ulimpa sana naniriu yako, kwa iyo kamwaga sana(less than3) hadi tobo la dudu likawa kuubwa, kwa iyo mkojo unapitiliza tuu bila yeye kunitambua

Luckme punguza manjonjo maana naona huko mbeleni utakuja kuwatoa roho wanaume zako


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Am here pm me Luckme
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dah😁😁😁😁😁wanawake tumeumbwa mateso, kakojoa yeye unafua wewe
 
Hahahaha nakwambia inabdi nipunguze dozi kwakweli...

am better here
 
Samehe mkuu, mpe nafasi nyingine.

Niliwahi kua na mwanamke mmoja kwa muda mrefu nikiwa namfahamu ni msafi na hana tatizo ila siku moja alikojoa kitandani jambo ambalo hata yeye lilimuumiza sana, nilisamehe kwakua nilijua ni bahati mbaya.

Hata hivyo tuliachana baadae ila kwa sababu zingine za kimaisha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…