We ulikutana na bustaAlikuwa askar wa FFU nakwambia mama anajamba na hizi nyumba unakuta chumba Master room nilikoma kwa mashuzi ya uharooo
Sent using Jamii Forums mobile app
Mm sijawahi wa kunikojolea badoo sema nilikutana na wakuharisha khaaa yani kila muda chooni mwanaume anajambaaa prapappaparapapa
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli mkuu dah nipo kuanua godoro langu hapaSi vizuri kutoa mapungufu ya wenzi wetu... Ndoa / mapenzi uvumilivu na kusitiriana sometimes
Cc Smart911
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakuu kwema.
Kama kawa nimekuja kuondoa stress zangu JF.
Juzi katika harakati za maisha nkapata mwanaume classmate sasa tukaamua kulianzisha gurudumu la mapenzi.
Kaka ni mjanja hatari swaga kama zote. Siku ya kwanza imeenda fresh tu siku ya pili ambayo ni usiku wa jana kuamkia Leo tumelala vizuri tu, sasa kila nkijosogeza naona kama kuna ubichi hivi nikajua labda mwana joto usiku kasweat, nikalala pembeni asubuhi naamka najikuta nimeloa namwamsha mwenzangu maana alikua anasafiri leo asubuhi, khaa ananambia we need to talk kuna kitu nataka nikwambie.
Ananambia I am sorry nilipitiwa nkakojoa kitandani, anyway me nikazuga pale kama sija-mind vile nikajikausha tu ila moyoni kuna furukuta kama fukuto. Hahahah, dah! yani nikaishiwa pozi nikabaki nime nyong'onyea tu sitaki hata anisogelee.
Namcheck tu anavo toa mashuka yaaan nikabaki namwangalia tu. Ila aisee kaniaribia mood ya siku kabisa, maana kutoa godoro nje aibu, hapa kanachia 2000 ya sabuni nifue mashuka na blanket.
Anyway nimekuja kutolea nyongo zangu huku ila mie nae kwa kuokota wanaume vimeo sijambo, khaaa!
I am better here
Nitard tena tuone tatizo nini?Hahaha ndiooo lazima nkutangaze yaaan kabisa unalegeza pumbu zako unaachia mkojo uoooo afu unasingizia ndoto mfyuuuuu.....umekua mtt wew
am better here
Hahahaha nakwambia inabdi nipunguze dozi kwakweli...jamaa inaonekana ulimpa sana naniriu yako, kwa iyo kamwaga sana(less than3) hadi tobo la dudu likawa kuubwa, kwa iyo mkojo unapitiliza tuu bila yeye kunitambua
Luckme punguza manjonjo maana naona huko mbeleni utakuja kuwatoa roho wanaume zako
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwakweli mkuu akiludia tena basi ndo kwaheriSababu mliamua kulianzisha gurudumu basi amueni pia kuachana... Kama hutaki mtu kikojozi..
Kama unataka mume basi uvumilie tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Samehe mkuu, mpe nafasi nyingine.Wakuu kwema.
Kama kawa nimekuja kuondoa stress zangu JF.
Juzi katika harakati za maisha nkapata mwanaume classmate sasa tukaamua kulianzisha gurudumu la mapenzi.
Kaka ni mjanja hatari swaga kama zote. Siku ya kwanza imeenda fresh tu siku ya pili ambayo ni usiku wa jana kuamkia Leo tumelala vizuri tu, sasa kila nkijosogeza naona kama kuna ubichi hivi nikajua labda mwana joto usiku kasweat, nikalala pembeni asubuhi naamka najikuta nimeloa namwamsha mwenzangu maana alikua anasafiri leo asubuhi, khaa ananambia we need to talk kuna kitu nataka nikwambie.
Ananambia I am sorry nilipitiwa nkakojoa kitandani, anyway me nikazuga pale kama sija-mind vile nikajikausha tu ila moyoni kuna furukuta kama fukuto. Hahahah, dah! yani nikaishiwa pozi nikabaki nime nyong'onyea tu sitaki hata anisogelee.
Namcheck tu anavo toa mashuka yaaan nikabaki namwangalia tu. Ila aisee kaniaribia mood ya siku kabisa, maana kutoa godoro nje aibu, hapa kanachia 2000 ya sabuni nifue mashuka na blanket.
Anyway nimekuja kutolea nyongo zangu huku ila mie nae kwa kuokota wanaume vimeo sijambo, khaaa!
I am better here