Liwagu
JF-Expert Member
- Jan 25, 2017
- 5,790
- 6,995
Nimemzarau Sana Putin, US wame vuruga Kambi ya jeshi laanga ya Syria na ndege 20 zimeharibia mbele ya ulinzi wa s-300 na 400, yeye ana sema eti anasubiri wajaributena ndio atajibu kwa nguvu.Ile mifumo ni kwa sisi tu tunabishana hapa ila kiukweli hakuna inachoweza fanya
Juzi juzi tu Israel kaingia na ndege zake pale
Putin akaanza piga kelele
Leo kapigwa na hiyo mifumo yake anaanza leta bit za kupeleka aircraft carrier Med Sea
Putin ni muoga Sana makeleletu.