Kimenukaa Urusi vs Marekani

Kimenukaa Urusi vs Marekani

Trump anaendelea kufeli kisiasa

alisema atafanya kazi na Russia,sasa wanatushiana

alimcheka Obama kwa hatua alizokuwa anachukua dhidi ya Syria,naye anafanya hayo hayo
Time will tell, ngoja tumchore
 
Mleta thread unajua kuogopesha watu! habari ilivyokaa utafikiri vita ya tatu ya Dunia (WWIII) ndo tayari ilishaanza....ila kiukweli natamani kuwaona USA na Russia vitani...I mean serious war na harafu nione who will prevail! maana tumechoka sasa (In mizengo pinda's voice)...
 
Ile mifumo ni kwa sisi tu tunabishana hapa ila kiukweli hakuna inachoweza fanya
Juzi juzi tu Israel kaingia na ndege zake pale
Putin akaanza piga kelele

Leo kapigwa na hiyo mifumo yake anaanza leta bit za kupeleka aircraft carrier Med Sea
Waambie wakajaribu kupiga kule Urusi, hapo ndio utajua kuwa hazifanyi kazi au laaa
 
Duh aisee RUSSIA imepeleka Warship Mediterranean ocean kuzikabiri fighting jets za USA zinazorusha makombora sasa hivi Syria kutokea kwenye Destroyers ambazo zipo Pia mediterranean ocean.Hii ni hatar kwa usalama wa dunia.Wale watu wa mungu msali tu sasa huu ndo muda
Tupia ka picha ili movie inoge
 
Ile mifumo ni kwa sisi tu tunabishana hapa ila kiukweli hakuna inachoweza fanya
Juzi juzi tu Israel kaingia na ndege zake pale
Putin akaanza piga kelele

Leo kapigwa na hiyo mifumo yake anaanza leta bit za kupeleka aircraft carrier Med Sea
Hamfahamu tu namna vile Warusi walivyo, ile red line waloichora ikivukwa tu basi mtapata kuwafahamu na hapo ndiyo utajua ubora wa hiyo mifumo nk .
Unakumbuka kule Crimea kilichotokea? Pale red line ilivukwa polite people wakaingia uwanjani.
 
Acheni uongo! Mkipata taarifa za kushtukiza ni vema kwanza mkatembelea BBC, CNN n.k ili muweze kuhakikisha... Hizo ni fake news...

Nimekodoa macho muda mref sana kwenye BBC na Al Jazeera sijaona nikashangaa
 
Trump anaendelea kufeli kisiasa

alisema atafanya kazi na Russia,sasa wanatushiana

alimcheka Obama kwa hatua alizokuwa anachukua dhidi ya Syria,naye anafanya hayo hayo
Kufanya kazi na Russia siyo lazima kushirikiana! Inaweza kumaanisha kumpiga pia!
 
According to BBC hyo mifumo cha kushangaza haikufua dafu
Mkuu unaziamini taarifa toka BBC zinazo zungumzia nguvu au uwezo wa kivita na kiuchumi wa Urusi? Uingereza ni adui namba moja au mbili wa Urusi(Russia). Sehemu kubwa ya habari zao zinakuwa za propaganda au zinachaguliwa zile zenye kuonesha udhaifu wa Russia lakini wakati huo huo kuna habari nyingine nyingi ambazo za matukio ya ubora/uimara wa Russia lakini hawazirushi BBC makusudi. Kama kuna makombora au ndege za Uingereza na washirika wake zinaporomoshwa na silaha za warusi hawawezi kuzirusha au watarusha idadi ya uongo kukwepa mgogoro wa kisiasa na wananchi wao.
Unajua askari wangapi wa uingereza na washirika wao walikufa kule Irak na Afghanistan? Maiti zilikuwa zinashushwa na ndege kimya kimya, ni mara 2 hadi 5 zaidi ya ile idadi unayoipata toka ktk vyombo vyao vya habari.
 
Back
Top Bottom