Heshima wadau,muda huu nimepita Central Polisi na nimeona umati wa waislam na askari polisi wako attention na mabomu ya machozi nilishindwa kujua kunani cos nilikuwa na call ya kwenye tower nitarudi nipate habari kamali niilete jamvini
CCM inawadekeza sana waislam ipo siku wataishika makalio ccm
mkuu wala usijisumbue kujua ni nini kinaendelea. Kuna uzi hapa unasema kuwa hakimu mmoja kawekea dhamana watuhumiwa. Ni ishu hi hii ya sensa, na hao ni wale waliokwepa, sasa mkono wa sheria uko juu yao. Hawa ndugu zetu sijui wana tatizo gani
waislamu wanatupeleka pabaya sasa!
kwa nini sasa umewahi kupost humu jamvini bila data? au unataka uwe wa kwanza kupost;?
kwa nini govt imeshikia bango SENSA?mbona hakuna majibu ya why turn out ya voters 2010 ilikua ndogo sana?HAPA KUNA SIRI
kwa nini govt imeshikia bango SENSA?mbona hakuna majibu ya why turn out ya voters 2010 ilikua ndogo sana?HAPA KUNA SIRI
Wahuni wachache na ponda wao wanatuharibia uislamu wetu
Wahuni wachache na ponda wao wanatuharibia uislamu wetu
in fact siyo sahihi kuwaweka waislamu wote kundi moja. wengi niraia wazuri tu ni kundi dogo sana wanao taka kupimana ubavu na serikali.HAO WANAFAHAMIKA KWA LUGHA YAO, UVAAJI WAO NA MAHUSIANO NA YAO NA WATU WENGINE.waislamu wanatupeleka pabaya sasa!