Kimenuka Scotland: Waziri mkuu adai kura nyingine ya maoni kudai uhuru

Casuist

JF-Expert Member
Jul 23, 2014
1,189
2,970
Waziri mkuu, Nicola Sturgeon amesema ataomba ruhusa ya kufanyika kura ya maoni kwa mara ya pili kuhusu uhuru wa Scotland. Amedai kura hio ifanyike kati ya 2018 na 2019 na ataliomba bunge la nchi wiki ijayo.

Amesema wananchi wa Scotland wanatakiwa kuruhusiwa kuchagua kati ya kuwa Brexit au kuwa nchi huru.

Sergion.jpg
 
nitaulinda muungano kwa nguvu zangu zote. ni moja ya kiapo cha ngazi ya juu kabisa hapa kwetu
 
Back
Top Bottom