Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 13,498
- 51,092
Waarabu? Ila kwakuwa tulielezwa hivyo basi acha tuamini hivyo. Nakumbuka kunamzamiaji mmoja alizamia baharini kwenda kuusaka mwili wa osama. Si jeneza wala mwili ulioonekana....Ukweli halisi una julikana waarab walitumia akili kubwa
Waarabu gani wakati waliuana wenyewe kwa ushirikiano wa wayahudi ili watake kuzivamia nchi za watu za kiarabu waue raia waoUkweli halisi una julikana waarab walitumia akili kubwa