Gaston Mbilinyi
JF-Expert Member
- Jan 24, 2010
- 296
- 51
Huyo Mkuu wa Mkoa ana matatizo, mbona haelezi alivyogundua kuwa Mh. Lema ndiye aliyechochea mambo hayo? Mnyonge anyongwe lakini haki yake ni vema apewe. Kosa la Mh. Lema hapo sijaliona kwani alikuja wakati mwanafunzi tayari akiwa amesha kufa na wanafunzi wakiwa wanaandamana!