Kikwajuni One
JF-Expert Member
- Mar 18, 2013
- 14,694
- 7,912
Hurricane Matthew: Hundreds dead in Haiti storm disaster - Hurricane Matthew: Hundreds dead in Haiti storm disaster - BBC News
Unauliza jibu? Matthew kwenu ni jinsia gani?hiki ni chakiume?
mkuu vimbunga vingi hupewa majina ya kike ndiyo maana nauliza hiki imekuwaje. kwa ujinga, unafikiri nauliza kama Mathew ni jina la kiume!Unauliza jibu? Matthew kwenu ni jinsia gani?
Vimbunga "vingi"; ina maana kuna vichache hupewa majina ya kiume na hilo unalijua kutokana na maelezo yako hayo. Hiki unaona kimepewa jina la kiume halafu unauliza "cha kiume"? Sasa mimi na wewe nani mjinga?mkuu vimbunga vingi hupewa majina ya kike ndiyo maana nauliza hiki imekuwaje. kwa ujinga, unafikiri nauliza kama Mathew ni jina la kiume!
kama ungekuwa muelewa ungejua kuwa point ya swali langu ni kutaka kujua kwanini vinapewa majina ya kike na kiume. mtu yeyote angajibu lile swali lazima angegusia hilo suala.Vimbunga "vingi"; ina maana kuna vichache hupewa majina ya kiume na hilo unalijua kutokana na maelezo yako hayo. Hiki unaona kimepewa jina la kiume halafu unauliza "cha kiume"? Sasa mimi na wewe nani mjinga?
kama ungekuwa muelewa ungejua kuwa point ya swali langu ni kutaka kujua kwanini vinapewa majina ya kike na kiume. mtu yeyote angajibu lile swali lazima angegusia hilo suala.
Hapa ni suala la kufamishana hakuna haja ya kujibizana au kugombana. Kama kuna mwenye ufahamu wa aina ya vimbunga vyenye majina ya kiume atujulishe. Au kama mtu anafahamu ni utaratibu unaotumika kutoa majina kwa vimbunga itakuwa bora zaidi.Vimbunga "vingi"; ina maana kuna vichache hupewa majina ya kiume na hilo unalijua kutokana na maelezo yako hayo. Hiki unaona kimepewa jina la kiume halafu unauliza "cha kiume"? Sasa mimi na wewe nani mjinga?
Wala hatugombani ndugu. Swali lake lingekuwa clear hivyo ingekuwa poa. Anachotaka tumsome akili mwake anawaza nini halafu tumjibu. Labda wapiga ramli kama wamo humu watamsaidia.Hapa ni suala la kufamishana hakuna haja ya kujibizana au kugombana. Kama kuna mwenye ufahamu wa aina ya vimbunga vyenye majina ya kiume atujulishe. Au kama mtu anafahamu ni utaratibu unaotumika kutoa majina kwa vimbunga itakuwa bora zaidi.
Ngoja mie nirekebishe kwa kumsaidia kuuliza, ni utaratibu gani unaotumika kutoa majina ya vimbunga?Wala hatugombani ndugu. Swali lake lingekuwa clear hivyo ingekuwa poa. Anachotaka tumsome akili mwake anawaza nini halafu tumjibu. Labda wapiga ramli kama wamo humu watamsaidia.
kuhisi kwamba sijui kama Matthew ni jina la kiume inaweza kuwa ni ujinga uliopitiliza au umeamua makusudi kuja na straw man arguments ili kuridhisha roho yako.Wala hatugombani ndugu. Swali lake lingekuwa clear hivyo ingekuwa poa. Anachotaka tumsome akili mwake anawaza nini halafu tumjibu. Labda wapiga ramli kama wamo humu watamsaidia.