Tanzania Salesman
Member
- May 25, 2017
- 12
- 3
Nawapa pole wale wote wanaopitiwa na mradi unaoendelea wa upanuzi wa barabara, Mwenyezi Mungu awape wingi wa rehema na uvumilivu katika kipindi hiki kigumu sana kwenu nyote pamoja na familia zenu.
Endapo utahitaji plot iliyopimwa mbali kabisa na barabara hapa jijini Dar basi naomba tuwasiliane, asanteni.
Endapo utahitaji plot iliyopimwa mbali kabisa na barabara hapa jijini Dar basi naomba tuwasiliane, asanteni.