ninaweza sema ni moja ya makampuni mazuri sana kufanya nayo kazi ukiwa unatoka shule na hauna experience,,, kwa kifupi as a mechanical technician utajifunza vitu vingi sana vya kisasa ambavyo naweza sema EAST AFRICA hapa hakuna mahali unapoweza kujifunza,, tumia miaka miwili pale mpaka mitano ukijituma na kuelewa kila kitu baada ya hapo you will earn a lot of money nje au ndani ya tanzania... kiukweli jamaa wanafanya kazi kwa international standard maana wako monitored na CATERPILLAR INC USA... " THERE IS THE TIME TO LEARN AND THERE IS A TIME TO EARN..."" ukizingatia huu msemo basi utakuja kuwa tajiri baadaye kupitia taaluma yako..
Nenda kafanye kazi mahali hapo utayajua mengi ya dunia kwenye field yako ukiwa hapo mahali,, pia utafungua milango ya kwenda kufanya kazi mining ndani na nje ya nchi maana utakuwa very competent,,,, NI HAYO TU MKUU NENDA KAPAMBANA...