Kim kimyaaaa!!!

Mkuu wana sema umeruka mara kumi zaidi ya kilipo kituo cha anga je mzee wenu ndio kashakatwa mkia maana duh ana lia lia na china tu mnyimeni mafuta north !!
We tulia tu Naval blockade inafata.
 
In pyongyang we call it the uncle of all bombs
 
Uzuri mmoja Kim ni member wa JF na amekujibu kwa kombora la masafa marefu
 
Fundi hakuna mzigo usioonekana dunia hii sio wa Russia,US,China, etc
Huu mzigo haukuonekana wakati unarushwa ndio maana kama ulifuatilia habari ya kwanza kabisa iliyotoka BBC walisema haijulikani kama ulipitsa tena juu ya Japan au vipi! Hawakuweza hata kukadiria kwa usahihi umbali uliosafiri kwa mwanzoni!
 
Wameliona wakati tayari liko masafa ya mbali! Walipata kiwewe! Ndiyo maana Trump hajaingia Twitter kusema ovyo kama kawaida yake!
 
USA anabana ma.pumbu tu, hana analoweza kwa kiduku!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…