Kim Kardashian....wee acha tu!!

Tisha-TOTO

JF-Expert Member
Feb 10, 2010
1,175
604
Jamani kwa kweli mimi mwenzenu.... hili toto hili laitwa Kim.......aaah!!!
 

Attachments

  • Kim.doc
    356 KB · Views: 337
she did a few jobs kama sikosei..kwani sie hamtuoni jamani! nyie kaka zetu sijui mkoje,kha!

Kijungu cha kim k ni orijino...and she had to undergo x ray to prove that...hata ukicheki dada zake si haba..familia imejaliwa ile...mademu wa kibongo wana vijungu vikubwa lakini irregular,inshort hawavutii...
 
i remember hiyo issue ya x-ray now. ila alifanya boob job? ww,umeona vijungu vingapi bana? hama mitaa unayohang, humu tu ukiona vijungu vya hawa madada wa jf utaomba poo!:mwaaah: ww vipi? haya kuleni kwa macho basi,eboo!:laser:
Kijungu cha kim k ni orijino...and she had to undergo x ray to prove that...hata ukicheki dada zake si haba..familia imejaliwa ile...mademu wa kibongo wana vijungu vikubwa lakini irregular,inshort hawavutii...
 
i remember hiyo issue ya x-ray now. ila alifanya boob job? ww,umeona vijungu vingapi bana? hama mitaa unayohang, humu tu ukiona vijungu vya hawa madada wa jf utaomba poo!:mwaaah: ww vipi? haya kuleni kwa macho basi,eboo!:laser:
Basi usimalizie kusemaaaaa kwani ukimalizia moyo wangu unauchomaaaaaa. Kifupi mi nawafagilia sana warembo wetu wa Bongo ukiwemo wewe King'asti.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…