SHERRIF ARPAIO
JF-Expert Member
- Aug 25, 2010
- 9,539
- 5,923
- Thread starter
-
- #21
Huyu mtoto kakosea sana; huyo mjomba wake alikuwa anajua mengi sana kuliko yeye mwenyewe kwa vile amekuwapo tangu walikotokea hadi walipofika hapo walipo. Alitakiwa amtumie vizuri tu lakini nadhani kakurupuka ili kuonyesha nguvu zake. Mzee alikuwa akimshauri apunguze makali ya ubabe ili wafuate mkondo wa China kukuza uchumi wao, lakini dogo ambaye bado anaishi ndotoni akaona huyo ni traitor.
Ila hata hivyo kumbe ni kweli kuwa wanawake hawaaminiki kwa vile chanzo cha yote ni kutoka kwa mkewe wa miaka mingi. Sasa mama anabaki mjane kwa umbeya wake mwenyewe.
Wabongo kwa porojo tunaongoza! Wewe ya kwetu hapa yamekishinda kushauri unataka kugeuka mtaalamu wa ushauri wa wakorea?!
Yaani kesi, hukumu, na kunyongwa siku hiyo hiyo?
Justice system North Korean style!
Noma, Iko siku fat boy watamwondoa tuIf proved beyond doubt auwawe hata hapohapo, zile mambo za kusubiri mwaka kumuua mtu na wakati imethibitika kafanya ushenzi ni kwetu Miafrika tu
Noma, Iko siku fat boy watamwondoa tu
Akina nani wamuondoe mkuu?
North korea imetangaza imemnyonga mjomba wa kiongozi wa nchi Kim kwa kosa la usaliti.
hii imekuja siku chache tu baada ya kumfukuza kazi