Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,703
- 218,230
Kama tunavyosema mara zote kwamba Hakuna mahali popote katika dunia hii ambapo Mwovu Shetani aliwahi kumshinda Mungu , basi kauli hii imezidi kujidhihirisha .
Diwani wa Kata ya Katindiuka , Mh Furaha Ngaya aliyekuwa jela kwa zaidi ya miezi 10 baada ya kuhukumiwa kwa maelekezo kutoka juu , ameshinda rufaa yake , na haya ndio mapokezi yake .
Diwani wa Kata ya Katindiuka , Mh Furaha Ngaya aliyekuwa jela kwa zaidi ya miezi 10 baada ya kuhukumiwa kwa maelekezo kutoka juu , ameshinda rufaa yake , na haya ndio mapokezi yake .