Kilo ya Sembe Tshs.1600/=

Kilo ya Sembe Tshs.1600/=

Najitolea mfano una familia ya watu watano ukijumlisha na wewe mtu sita yani baba mama, mdada wa kazi watoto watatu asubuhi vifungua kinywa sii chini ya elfu tatu hapo nimepigia hesabu ya maandazi 2kila moja 500, mchana kuanzia mkaa , unga kilo 2000, mboga hapo sijaweka nyama sh 5000, jioni wali maharage, nazi na mboga za majani 6000 jumla 16, 000 pigeni wenyewe hesabu hapo bado hujabadilisha mlo ununue nyama, au samaki halafu unaishi nyumba ya kupanga unadaiwa kwa mwezi hela taka 2000, maji 4000, umeme15, 000 hapo sijajumuisha nauli za watoto shule na kodi ya nyumba halafu hawa wamiliki wa nyumba walivyo na roho mbaya eti garama za nyumba zimepanda kutokana na uendeshaji
Kwanza huwa najiuliza huo uendeahaji wa namna gani nyumba imejengwa tooka enzi za mwalimu choo ndio majanga ukarabati ziro kama sii wizi ni nini wallah atakae baki mjini kidume na hivi mvua ndio hazinyeshi ningejirudia zangu kijijini nikalime ya nini kujipa stress maisha yenyewe mafupi haya
Nikisoma hili andiko lako, njaa inazidi kuniuma. Hali ni tete sana. Gharama za maisha zimepaa.
 
Tangu nifike hapa mjini miaka 16 iliyopita nikiwa mwanafunzi wa secondary, sijawahi hadi wa leo kununua kilo ya sembe kwa Tshs.1600.

Aisee haya mambo ni tafu sana, maisha hayasongi kiukweli tuacheni mzaha jamani...
MBONA HIYO RAHISI.KWETU USWAZI ELFU 2
 
Da walvyokuwa na mihemuko wqtaongea MNA njaa mntk niwapkie du tunaplkwa WAP ss
 
Hizo bei ni kwa UKAWA tu. Lumba FC hawanunui kwa bei hizo. Wao kwao ni 1,200 kama walivyokua wananua sukari kwa bei elezezi ya serikali yao ya ccm.
 
episodes za madawa zikiiisha,mtakuwa mshasahau bei ya unga wa dona kubanda wala kufeli kwa wanafunzi wa mkoa wa Daresalaam.
wataalaam wa kucheza na media za Tz washapanga yao
 
Anaehitaji unga safi wa sembe Nauza kwa Bei ya 1300 @1kg nakufikishia popote ulipo kama unahitaji kuanzia kilo200 nitafute 0764727853 or 0687260737 nitafute
 
Back
Top Bottom