Kilo ya Sembe Tshs.1600/=

Kilo ya Sembe Tshs.1600/=

Najitolea mfano una familia ya watu watano ukijumlisha na wewe mtu sita yani baba mama, mdada wa kazi watoto watatu asubuhi vifungua kinywa sii chini ya elfu tatu hapo nimepigia hesabu ya maandazi 2kila moja 500, mchana kuanzia mkaa , unga kilo 2000, mboga hapo sijaweka nyama sh 5000, jioni wali maharage, nazi na mboga za majani 6000 jumla 16, 000 pigeni wenyewe hesabu hapo bado hujabadilisha mlo ununue nyama, au samaki halafu unaishi nyumba ya kupanga unadaiwa kwa mwezi hela taka 2000, maji 4000, umeme15, 000 hapo sijajumuisha nauli za watoto shule na kodi ya nyumba halafu hawa wamiliki wa nyumba walivyo na roho mbaya eti garama za nyumba zimepanda kutokana na uendeshaji
Kwanza huwa najiuliza huo uendeahaji wa namna gani nyumba imejengwa tooka enzi za mwalimu choo ndio majanga ukarabati ziro kama sii wizi ni nini wallah atakae baki mjini kidume na hivi mvua ndio hazinyeshi ningejirudia zangu kijijini nikalime ya nini kujipa stress maisha yenyewe mafupi haya
mkuu hiyo heba ukiipiga kwa mwenzi kama sio kwenda maakamani

unaweza kula drip sio vitu vya kuwaza ivyo....
 
sembe mnapika ugali wa watu zaidi ya watano kwa kilo moja. sasa kama ni alfu mia sita, kwani bia mnanunua bei gani moja, mbona mnanunua bia zaidi ya buku mbili, mnazungusha meza yote na keep chenji ya baa medi juu. vumilieni hadi 2020.


Pole sana time will tell nakwambia
 
Back
Top Bottom