Do not use the Lord's name in vain! !Kelele za kwenye mapenzi ni wizi tu hamna lolote...
La ukweli ni "Facial Expression"..... na ukiwa umemwezea kabisa utajua dini yake ya halali akimtaja "Yesu" ua "Mtume"...
Tuwekee voice note kidogo tuijadiliHuu ni utafiti wangu binafsi naomba mwenye pingamizi aje kwa comment. Asanteni
Kweli kabisa . Nakumbuka miaka ile dahUzinzi unaharibu maisha ya vijana wengi sana, bahati mbaya kuligundua hili ni mpaka umri flani ufike ndio unagundua kuwa ulipuyanga, comeback ni ngumi sana unless kwa msaada wa Jesus.
Mfia dini, elewa muktadha ulioongelewa...Do not use the Lord's name in vain! !
Kelele za kwenye mapenzi ni wizi tu hamna lolote...
La ukweli ni "Facial Expression"..... na ukiwa umemwezea kabisa utajua dini yake ya halali akimtaja "Yesu" ua "Mtume"...




i miss you babe