Donatila
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,557
- 21,513
Wakuu,
Hivi karibuni kama sikosei kumekuja tamko kuwa mitandao ya kijamii ( Blogs) kulipa kiasi fulani kwa mwaka.
Hapa kuna kilio kikubwa kwa wamiliki wa hiyo mitandao ya kijamii kutokana na kuwa (blogs) nyingi hazitaweza kulipa.
Hatujatema mate yakakauka tunasikia tena tamko mitandao ya kijamii kusajiliwa.
Kutokana na hivyo basi pia kuna kilio kwa wafanyakazi wa hizo blogs kwani blogs nyingi zitaondoa wafanyakazi.
Mbaya zaidi hata hizo blogs nyingi zitashindwa na kuamua kufunga.
Sasa hapa kuna kundi kubwa la watu ambalo linarudi nyumbani kwa kukosa ajira.
Nawaza tu; Hili kundi la hawa watu waliokuwa wamejiajiri na kuajiriwa wanakwenda wapi?
Nawasilisha.
Hivi karibuni kama sikosei kumekuja tamko kuwa mitandao ya kijamii ( Blogs) kulipa kiasi fulani kwa mwaka.
Hapa kuna kilio kikubwa kwa wamiliki wa hiyo mitandao ya kijamii kutokana na kuwa (blogs) nyingi hazitaweza kulipa.
Hatujatema mate yakakauka tunasikia tena tamko mitandao ya kijamii kusajiliwa.
Kutokana na hivyo basi pia kuna kilio kwa wafanyakazi wa hizo blogs kwani blogs nyingi zitaondoa wafanyakazi.
Mbaya zaidi hata hizo blogs nyingi zitashindwa na kuamua kufunga.
Sasa hapa kuna kundi kubwa la watu ambalo linarudi nyumbani kwa kukosa ajira.
Nawaza tu; Hili kundi la hawa watu waliokuwa wamejiajiri na kuajiriwa wanakwenda wapi?
Nawasilisha.