Nawasalimu katika Kristo Yesu aliye hai.
Na kwa wale ambao si wa imani hii nawasalimu katika imani zao... Lililo kubwa ni upendo kujali na tafakuri
Nilipotea barazani kwetu hapa, kuna coincidence ilitokea
Mipango ilikuwa nichukue likizo baada ya kipindi cha kampeni na uchaguzi kwisha, maana kwa hakika kwa upande wetu tulikuwa busy na tulijitoa kwa hali na mali kuhakikisha tunakuwa na mtazamo mpya...!!!!
Usiku wa kuamkia October 29 kilinge kikapata shambulio kubwa la kimwili hardware yote ikateketea kwisha kabisa lakini software ikasalimika kwa asilimia 100
Kipindi cha kampeni nikapata marafiki nyoka wanafiki wengi sana waliodhani wanamfahamu Jr kuliko wanavyojifahamu wenyewe.
Waliojifanya wana mapenzi mema nami kuliko familia zao na michepuko yao, waliojifanya ni washauri wema sana kuliko wale wanaowatumikia kule walikotumwa.
Wachumia tumbo hawa...MUNGU AWAREHEMU SANA..Kuna siku kutapambuzuka hata usiku uwe mrefu kiasi gani....!!!
Nimerejea JF tena ...nilikuwa likizo ...Familia yetu ya JF nje ya JF tulikuwa na mawasiliano ya karibu na tukapashana yanayotokea duniani kila sekunde
Haters na wanafique wako popote TUNAWAHITAJI KAMA KIOO CHETU...Lakini kwa bahati mbaya sana..wanaishi dunia ya miji bila majumba ...barabara bila magari....misitu bila watu...
Wanajaribu sana kutuonesha wafu wakati makaburi tunajua yalipo na wanatuonesha vitabu wakati kurasa tunazifunua sisi....!!!
Mwenda tozi na omo.....!?
NIMEREJEA...!!!
mwite fundi banaKaribu sana JF kaka mchawi..
sahihi kabisaPole sana mkuu, hiyo ndiyo maana halisi ya maisha! Hayapiti kwenye lami siku zote!
Kikubwa uzima, kama u mzima tushukuru Mungu na hayo mengine tunayabadilisha jina na kuyaita changamoto!! Yametufunza na kutufanya imara zaidi.
Karibu tena
Kuna maada yako flani imenipotea naomba link yake ila inahusu mambo ya sisi vijana kuyazingatia before 30...KILa nikiitafuta siipati nisaidieThanks young bro...happy to see you again
Thanks sana sana...speculations zilikuwa nyingi mno zikiwemo za kupigwa kipapaiWelcome home.... Mshana Jr
ndege JOHN
Alianzisha mpaka uzi kuulizia ukimya wako....
Kuna nazalia nyingi Sana zilitawala
#bring back mshana jr
& So & so....
Wapo walio sema ulipoteza simu ndio maana ukawa kimya....
Wapo walio pinga wakasema mshana hata akipoteza simu
hawezi shindwa nunua simu ingine.....
We are happy umerud nyumbani Salama.....
Tulikumiss sanaa tumefurahi Sana....
Karibu nyumbani Mshana Jr ..... we miss you so much.
Kuna maada yako flani imenipotea naomba link yake ila inahusu mambo ya sisi vijana kuyazingatia before 30...KILa nikiitafuta siipati nisaidie
Asante Sana brother nimeitafuta mno hii maada dah Asante aseeNaomba kuongea na wadogo zangu wa kiume 18-30years
Utu uzima dawa! Mnakopita sasa sisi tulishapita salama, lakini kuna uhitaji wa kukumbushana machache, kupeana mbinu na kutiana moyo pia (hapa kwa sehemu hata wadogo zangu wa kike watahusika). Naongelea mabadiliko ya makuzi kihomoni, kimtazamo, kimahusiano na kifikra pia. Kwanza lazima...www.jamiiforums.com