Mkuu,
Huu uyoga ni organic au? Pia naona watanzania wanakosa utashi au taratibu wa consumption ya uyoga, sijui tatizo ni nini hapa ukiweka mchicha na uyoga mtu achague kama offer niauhakika atachagua uyoga, je ni mazoea au kutokufahamu, uyoga ni mmea au ni fungi?
Panahitajika elimu biashara na marketing ya kutosha uunless othrwise mimi naona ukiweza kuwa na segment ya customers/market ukawalenga watu wa aina fulani inaweza kuwa biashara nzuri.
Huu uyoga ni organic au? Pia naona watanzania wanakosa utashi au taratibu wa consumption ya uyoga, sijui tatizo ni nini hapa ukiweka mchicha na uyoga mtu achague kama offer niauhakika atachagua uyoga, je ni mazoea au kutokufahamu, uyoga ni mmea au ni fungi?
Panahitajika elimu biashara na marketing ya kutosha uunless othrwise mimi naona ukiweza kuwa na segment ya customers/market ukawalenga watu wa aina fulani inaweza kuwa biashara nzuri.