Kilimo cha vitunguu maji

Kilimo cha vitunguu maji

Naomba kufahamu kwenye debe moja la vitunguu kunakuwa na kilo ngapi au lina uwezo wa kutoa kilo kuanzia ngap
 
Mkuu, feedback kama hutajali
Umefikia wapi
Oky, mkuu nipo hatua nzur nashukuru mungu sjapata changamoto kubwa maana nlkolimia hakuna hata wadudu, kaz kubwa ilkuwa kumwaglia nmepga mbolea Mara mbili mzgo ukaitka natarajia mwez wa nane mwishon nianze kuvuna changamoto soko lmeyumba
 
Oky, mkuu nipo hatua nzur nashukuru mungu sjapata changamoto kubwa maana nlkolimia hakuna hata wadudu, kaz kubwa ilkuwa kumwaglia nmepga mbolea Mara mbili mzgo ukaitka natarajia mwez wa nane mwishon nianze kuvuna changamoto soko lmeyumba
Hiki kilimo nmekipenda ntalima na wakat wa masika npunguze mashamba ya mahind
 
Oky, mkuu nipo hatua nzur nashukuru mungu sjapata changamoto kubwa maana nlkolimia hakuna hata wadudu, kaz kubwa ilkuwa kumwaglia nmepga mbolea Mara mbili mzgo ukaitka natarajia mwez wa nane mwishon nianze kuvuna changamoto soko lmeyumba
Tafuta namna ya kuhifadhi (storage) ili kusubiri soko libadilike upige pesa, nasikia vitunguu vikiwekwa vizuri vinakaa hata mwaka
 
Oky, mkuu nipo hatua nzur nashukuru mungu sjapata changamoto kubwa maana nlkolimia hakuna hata wadudu, kaz kubwa ilkuwa kumwaglia nmepga mbolea Mara mbili mzgo ukaitka natarajia mwez wa nane mwishon nianze kuvuna changamoto soko lmeyumba
Mungu mwema
Let's keep moving
 
Saiv Lina bei gani gunia Kwa taarifa ulizonazo

Oky, mkuu nipo hatua nzur nashukuru mungu sjapata changamoto kubwa maana nlkolimia hakuna hata wadudu, kaz kubwa ilkuwa kumwaglia nmepga mbolea Mara mbili mzgo ukaitka natarajia mwez wa nane mwishon nianze kuvuna changamoto soko lmeyumba
 
Kilimo chochote timing is everything, angalia na fanya research miezi gani kitunguu hakipatikani na bei yake ni kubwa sana na lini vitunguu vinaozea shambani, kodi warehouse nunua vikiwa bei ya chini sana vihifadhi (vitunguu vinakaa zaidi ya miezi 6 ukijua namna ya kuhifadhi) kwa bongo nasikia wakati wa masika havipatikani, ila nasikia kujua PH ya udongo kabla ya kulima vitunguu ni muhimu sana la sivyo utapata hasara kubwa sana
 
Wadau kama kichwa cha topic kinavyosema, shauku kubwa la mim kuja hapa ni kutaka kupeana uzoefu wa kilimo cha vitunguu maji kw misimu ya hiv karbun kutokana na nyuz zlzomo jukwaani kuwa za miaka mingi iliyopta mfn 2010! Mambo yamebadlika Sana kipind kile unakuta mtu anazungumzia kuuza gunia kwa elfu 60;
Karibuni kwa michango
1. Aina ya mbegu inayotoa vitunguu vizur vya saiz ya Kati
2. Gharama ya mbegu za kutosha hekari moja
3.Gharama ya uendeshaji
4.Changamoto.
5.Makadrio ya mapato yazingatie misimu ya mauzo ya wastan tustamanishane kwa kutajiana Bei kubwa kumbe uhalisia haupo vile.
N:B Niko sehemu inamito isyokauka na mashamba na miliki mwenyewe ispokuwa wenyeji wamebweteka hakuna aliyeiona hii fursa! Kusini kumenoga.
Karibuni kwa mawazo.
Mnaweka nini kwenye vitunguu maji..... Vitunguu maji tukiwa tunapika jikoni havina harufu, havitoi machozi..... Havina ladha kabisa Au ni GMO pia??
 
Back
Top Bottom