HONDA XL
Senior Member
- Apr 4, 2012
- 137
- 113
wabongo tuna vituko, unasema ni ngumu kuotesha, ila hujawahi kutana nayo.Ni ngumu sana kuotesha Vanila, ndiyo maana unaona hailimwi kwa wingi. Binafsi sijawahi kukutana nayo kabisaa
haha si matango pori ya story za whatapp na facebook. acha wazoefu waje walete uzoefu wa hali halisi kuliko nadharia