sundoka
JF-Expert Member
- Oct 9, 2011
- 2,067
- 2,752
Ni ngumu ku estmate gaharama kwa kuwa inahusisha kununua shamba la kwako kabisa. Na huwez jua shamba utauziwa wa bei gani mkuu.Hongera sana mkuu, naomba kujua kwa heka moja kwa anayeanza anatakiwa awe na mtaji kiasi gani?
Sent from my TECNO M6 using JamiiForums mobile app