bab-D
JF-Expert Member
- May 2, 2015
- 1,335
- 404
nimekaa na kufikiri sana kuhusu mazao yetu mengi tunayo lima ni ya msim mmoja tu, huvuni kwa mwendelezo, lakini nimesikia kuna nyanya zinaitwa tree tomato zinalimwa sana kenya na pia huku kwetu zinalimwa iringa,na nasikia unaweza vuna hadi miaka mitano kutegemea na matunzo, na wenyeji huko iringa wana ziita matunda damu, mwenye uelewa ma hii kitu anijuze,jinsi ya kuilima ,matumizi yake na soko lake likoje,
nawasilisha
nawasilisha