Kilimo cha Parachichi - Fahamu Aina, Namna ya Kulima na Masoko


tembajr,
Ndugu ina inaitwa HASS inaweza kukaa hata mwezi ukichuma ikiwa imekomaa bila kuoza ni kama zile embe za bolibo. na hizi nying husafirishwa nje na hapa jamaa anazungumzia kampuni ya kuuza nje.

Iko kampuni moja inaitwa AFRICADO iko kilimanjaro wanasafirisha sana parachichi kwenda Uyala.

LUMUMBA
 
Katika uelewa wa parachichi sijawahi jua hili mkuu asante kwa kunijuza. Hizi hass huwa ukizivundika kuziivisha kilazima zinaaribika? Mana nimewahi kukutana na parachichi zinazogoma kuiva tunaziweka hata siku 7 bado mbichi hii kwetu ilikuwaga ni pasua kichwa
 
HABARI. Asante Pia,

Aina hii sa HASS asili yake ni america kusini hasa Nchi ya MEXICO ambayo ndio nchi inayolima na kuuza Parachichi kwa wingi duniani soko kubwa likiwa marekani.Wakulima wa marekani walitoa mbegu kule miaka ya 1800 mishoni ndio wakaanza kulima waligungua ni mbegu nzuri isiyo haribika kwa haraka rahisi kuihifadhi na kushafirisha na kitu kinachosaodia hapa ni ganda lake kuwa ni gumu sasa kama ukichuma ikiwa imekomaa inaweza kuiva ndani ila ikachelewa kuoza kwasabau ya ganda lake.

Sasa hiyo aina ya huko kwenu inawezekana ikawa ni mbegu nyingine ambayo haijatambuliwa kimataifa ikawa ni fursa pia.

LUMUMBA
 
Uko vizuri mkuu. Nikijipanga nitakutafuta tuyajenge katika hili.
 
 
Karibuni jamani kuwekeza kwenye parachichi; cha muhimu usikurupuke. Ni vyema ukapata ushauri wa wataalamu kabla ya kupanda ili usije kujuta baadae ni zao la muda mrefu (perrenial crop) na lina mbinu zake za utunzaji (Good agriculture practices- GAP)
 
Wakuu kilimo cha parachichi aina ya hass kwa sasa kinachukua umaarufu hasa kwa mikoa ya Mbeya, Njombe, Iringa, Arusha, Songea na kwingineko.

Mwenye kujua masoko yake hasa nje ya nchi na makampuni yanayonunua tujuzane please
Songea sehemu gani?
 
aksante mdau naendelea kufuatilia kwa ukaribu inaonekana kilimo hiki kina tija faida yake kama unavyosema ni zaidi ya pension
Ya kisasa ni miaka 3 mpaka 4 unaanza kuvuna...nina experince kutoka Iringa na Njome
 
Mkuu aina gani sasa ya parachichi tusije kurupuka na mbegu ambazo hazistahili kuingia sokoni?
 
Karibuni jamani kuwekeza kwenye parachichi cha muhimu usikurupuke ni vyema ukapata ushauri wa wataalamu kabla ya kupanda ili usije kujuta baadae ni zao la muda mrefu ( perrenial crop) na lina mbinu zake za utunzaji ( Good agriculture practices- GAP)
Naomba huo mwongozo ili kufikia kupata zao bora. Maana nataka kuwekeza ktk parachichi
 
Geita ni vyema ukapanda parachichi inaitwa x-ikuli au nabal inavumilia kidogo joto lakn pia unaweza ukajaribu hass maana kuna watu wamepanda hass mwanza.
Wataalamu vp kwa maeneo ya mwanza -usagara kwenda mpaka misungwi naweza panda parachichi na zikasitawi vizuri kwa udongo wa maeneo pia hali ya hewa?
 
Personally ahipitis iku bila kugonga parachichi
 
Mbeya kuna mzungu ni mnunuzi, yupo jiran na Rungwe sec

Kama ni Mbeya wala usihofu we lima tu, huyu mzungu kalima eneo kubwa kweli
Anaitwa Mr Robert na last month kazindua kiwanda cha kuchakata parachichi anapack safari Ulaya.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…