Kuna taratibu nyingi za kufuata mpaka uliuze kwa mzunguHili zao kweli ni deal ila mpaka uliuze ni mziki na wengi hawajui hili
Sent using Jamii Forums mobile app
Hili zao kweli ni deal ila mpaka uliuze ni mziki na wengi hawajui hili
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa kabisa mkuu kwanza ni lazima.Procedures zipi mkuu
Kule Iringa kuna watu wanauza sana, sema inasemekana wanataka mbolea za samadi au mboji ndio ziwe zimetumiwa na sio Inorganic fertilizers
Sawa kabisa mkuu kwanza ni lazima. Wakusajili wao na wakupe organic certificate na watakuwa wanakufuatilia kuanzia unapanda mpk mavuno. Pia ni lazima ufanye organic farming yaani utumie mbolea na madawa ya asili watakayokueleza wao. Ukijipandia tu mradi umesikia Hass dili huwezi kuliuza kwa mzungu hapa ndipo wengi wanabugi masikini.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna uonevu hapa soko la nje linahitaji organic na hata bei ya organic ni kubwa sana inafikia $2 kwa organic avocado 1. Ukitaka kulima inorganic utauza 1 kg kwa 500 na ushindani wa soko ni mkubwa sana yatakuozea
Sent using Jamii Forums mobile app
Kabla hujaingia huku plzzzz fika rungwe avocado hapo utapata utaratibu mzimaMorogoro kwa sasa
Kabla hujaingia huku plzzzz fika rungwe avocado hapo utapata utaratibu mzima
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio mkuu, ni wazungu watoa miongozo/vyeti kwa wakulima na wanaexport. Utalima utawauzia wao
Sent using Jamii Forums mobile app
Hao Rungwe Avacado wanapatikana vipi? Una contacts zozote namba za simu .... msaada wako Mkuu.Kabla hujaingia huku plzzzz fika rungwe avocado hapo utapata utaratibu mzima
Sent using Jamii Forums mobile app
Namba zao sijasave, Google utazipata.Hao Rungwe Avacado wanapatikana vipi? Una contacts zozote namba za simu. Msaada wako Mkuu.
Wakulima wengi avacado zinaozea mashambani. Wachuuzi toka Kenya sijui wameingiwa na nini? Kibaya zaidi hata wakija kuvuna kwako wanavuna wanayotaka wao hayo mengine sasa inakuwa vigumu kupata mnunuzi.
Asante MkuuNamba zao sijasave, Google utazipata
Haya ndio makosa ninayowaonya watu humu. Ukijipandia bila kuwaona wanaoexport itakula Kwako epuka kununua Miche ya mtaani.
Kampuni nyingine ni africado Kilimanjaro, Tanzanice Njombe (sishauri sana hapa). Kenya wananunua bila kuangalia sana ulivyolima na kuexport ndio maana soko lao halieleweki
Sent using Jamii Forums mobile app
Hili zao kweli ni deal ila mpaka uliuze ni mziki na wengi hawajui hili
Sent using Jamii Forums mobile app
We hiyo bei ya wapi, msimu huuu april kilo ya parachichi ni sh.1600Kila eneo la ekari moja it is Ideal kuvuna matunda ya parachichi yenye thamani ya milioni mbili. Kwa ekari hamsini inamaana unakuwa unavuna matunda ya thamani ya milioni mia. yaani hapo unaajiri na kuajiri wafanya kazi kadhaa kwa ajili ya shamba tu
We hiyo bei ya wapi, msimu huuu april kilo ya parachichi ni sh.1600