Habari wana Jamii Forum, hongereni kwa hatua ya uchaguzi. Naomba msaada jwa yeyote mwenye ujuzi wa kilimo cha miti.
Mimi ni graduate wa jinsia na maendeleo bado cjapata ajira had sasa nafikirikujiajiar kwenye kilimo cha miti. uwezo wa kupata eneo la kufanyia kazi km hekari 3-4 ninao. Je, ni aina gani ya miti inayostawi huku masasi, mkoani mtwara?
Napenda kupanda miti ambayo naweza kuungia mkataba na mashirika yanayotumza hewa ili nipate grants au mkopo kwa ajili ya kuendesha zoez hili?
Japo najua sana kuwa itanigarimu hapa mwanzoni.Toa ushauri ktk hili.
Mimi ni graduate wa jinsia na maendeleo bado cjapata ajira had sasa nafikirikujiajiar kwenye kilimo cha miti. uwezo wa kupata eneo la kufanyia kazi km hekari 3-4 ninao. Je, ni aina gani ya miti inayostawi huku masasi, mkoani mtwara?
Napenda kupanda miti ambayo naweza kuungia mkataba na mashirika yanayotumza hewa ili nipate grants au mkopo kwa ajili ya kuendesha zoez hili?
Japo najua sana kuwa itanigarimu hapa mwanzoni.Toa ushauri ktk hili.