Wadai hii ni mara yangu ya kwanza kuongea jamvini. Nina wazo la kuanzisha kilimo cha miti ya asili kwasababu miti ya asili inakatwa kila itwaapo leo na hakuna juhudi za kupanda mingine ku replace iliyokatwa.
Naomba ushauri wenu wa talaamu wa miti,bengu zinapatikana wapi na njisi ya kuziotesha na kuzitunza hadi kuzihamishia shambani.
Naomba ushauri wenu wa talaamu wa miti,bengu zinapatikana wapi na njisi ya kuziotesha na kuzitunza hadi kuzihamishia shambani.