Kilimo cha matikiti maji (watermelon): Ushauri na Masoko

Safi sana mkuu hongera sana. Je ni mikoa gani ambayo matikiti yanastawi kwa wingi?
 
Jamani habarini za wkend.., naomba kujua mche wa tikiti maji unaweza kuvunwa mara ngapi matunda yake?

Kwa mfano embe zinavunwa kila mwaka, ndizi unavuna mara moja tu na mche unakwisha kazi yake. Vipi kwa matikiti maji, unavunwa mara ngapi na kwa kipindi/interval gani?

Nataka kulima, yanalipa sana nisaidieni tafadhali.

mkuu edimund naomba unitext kwa 0719168700 ,nimependa somo lako
 
natamani ningekua na mtaji maana gari likija kama kenta halikai siku nzima fasta tu kama ukitaka faida uza mwenyewe toa shamba leta sokoni bei ya jumla garini n elfu tatu mia5 had 2500 ukitaka haraka.

watu wanapiga pesa kimya kimya ukitaka kujua utamu wa ngoma kunywa kiroba ingia ucheze
 
natamani ningekua na mtaji maana gari likija kama kenta halikai siku nzima fasta tu kama ukitaka faida uza mwenyewe toa shamba leta sokoni bei ya jumla garini n elfu tatu mia5 had 2500 ukitaka haraka
watu wanapiga pesa kimya kimya ukitaka kujua utamu wa ngoma kunywa kiroba ingia ucheze

mkuu mtaji sio mkubwa sana nimejaribu this year kulima ndio navuna sasa, nimetumia milion 2,320,000/= kwa heka mbili hapo nilikuwa mgeni ila next time ninauhakika wa kutumia mil. 1.8 hivi kwa ekari mbili,,,,so unaweza kujipanga hata eka moja tu mkuu.
 
Mkuu wangu kilimo cha bustani ni changamoto! Faida ipo tena nzuri ya kuridhisha kabisa.
Binafsi nina uzoefu wa kutosha juu ya kilimo cha tikiti maji.
Mathalani unataka kulima ekari1 ya tikiti, huu ni mchanganuo mfupi kabisa;
kawaida ekari1=sqm4000
Kwa spacing ya 1m shimo hadi shimo na 2m mstari kwa mstari na kila shimo huwa naacha miche 2 na kuruhusu matunda3.
Na kama utapata mbegu ya hybrid itakuwa vizuri zaidi maana MATUNDA yake yanajiuza yenyewe, shambani ni sh1500.
So ukishusha hesabu hapo juu:
Jumla ya mashina ktk ekari1 ni
Sqm4000÷(1m×2m)×2=4000
Idadi ya MATUNDA =(4000×3)=12000
Mauzo shambani ni 12000×1500=Tshs18,000,000/=
Tatizo ni usimamizi, ila kilimo hiki kinalipa sana!



mkuu kisima,habari yako.aisee nimevutiwa sana na mchanganuo wako.tafadhali naomba no ya simu yako maana natamani siku nikuone physicaly unipe maujuzi zaidi.
ubarikiwe mkuu
 
wakuu naomba mnisaidie dawa.nina tikiti zangu nimelima bagamoyo fukayosi zmestawi vema sema yanapasuka.nisaidieni wandugu yanazidi kupasuka.
 
hayo hapo nimeattach pics
IMG-20141113-WA0004.jpg
IMG-20141113-WA0003.jpg
 
wakuu naomba mnisaidie dawa.nina tikiti zangu nimelima bagamoyo fukayosi zmestawi vema sema yanapasuka.nisaidieni wandugu yanazidi kupasuka.
 
Mkuu tikitiki hupasuka kutokana na maji kuzidi ama joto tizama kati ya hivyo viwili kimoja kitakuwa chanzo. Pole kwa hilo mkuu.
 
wakuu naomba mnisaidie dawa.nina tikiti zangu nimelima bagamoyo fukayosi zmestawi vema sema yanapasuka.nisaidieni wandugu yanazidi kupasuka.
usome huu uzi toka mwanzo utaelewa nafikiri dawa zipo za majani ila tunda lenyewe halitaki ubichi hivyo ukiweza yawekee nyasi ili kuyazuia kukutana na ubichi na kupasuka sio ugonjwa
 
Mkuu tikitiki hupasuka kutokana na maji kuzidi ama joto tizama kati ya hivyo viwili kimoja kitakuwa chanzo. Pole kwa hilo mkuu.


mkuu nezara nashukuru,nahisi joto ndilo litakuwa tatizo.sasa inabdi niyafanyeje mkuu yasizidi kupasuka
 
Hello wana JF

Napenda kuchukua nafasi hii kuwashukuru wale wote waliokuwa wanawapa watu moyo wa kufanya kilimo kwani hatimaye nami nimelima Tikiti na sasa nimevuna. Ingawa mavuno hayakwenda vizuri kutokana na mvua.

Sasa natafuta soko la matikiti yapatayo 900 yenye uzito wa kuanzia kilo 3 mpaka 7. Tafadhali naomba msaada wa kujua wapi naweza kupata soko kabla hayajaniharibika.

matikiti.jpg
 
Hello wana JF
Napenda kuchukua nafasi hii kuwashukuru wale wote waliokuwa wanawapa watu moyo wa kufanya kilimo kwani hatimaye nami nimelima Tikiti na sasa nimevuna. Ingawa mavuno hayakwenda vizuri kutokana na mvua.
Sasa natafuta soko la matikiti yapatayo 900 yenye uzito wa kuanzia kilo 3 mpaka 7. Tafadhali naomba msaada wa kujua wapi naweza kupata soko kabla hayajaniharibika.

UKo mkoa gani mkuu?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom