Mfarisayomtata
JF-Expert Member
- Feb 2, 2012
- 474
- 188
Ninayo business plan ya kilimo cha water melon!.. Ila iko planed zaidi kwa infrastructure za Dodoma cjui kama itakufaa!..
Mkuu mimi nyumbani ni hombolo dodoma je naweza kuwasiliana na wewe kwaajili ya kupata ushauri namna ya kulima kilimo cha matikiti kwa mazingira yetu huko??