Napoleone
JF-Expert Member
- Apr 11, 2012
- 10,087
- 15,961
Wakuu, baada ya kupata breakdown ya kilimo bora cha mahindi, steps, mbegu, mbolea, uhifadhi na kadhalika
Hatua ya pili naomba wadau mnipe timing za kucheza na misimu kwa upande wa masoko. Yaani kwamba mfano ukilima kipind hiki expect sokoni kutakuwa na hiki nakadhalika. Sisi wageni kwenye sekta hii hatufahamu haya, kwa mkali anaeweza nipa breakdown hiyo anisaidie wakuu.
Natanguliza shukrani zangu za dhati
Uzi tayari
Hatua ya pili naomba wadau mnipe timing za kucheza na misimu kwa upande wa masoko. Yaani kwamba mfano ukilima kipind hiki expect sokoni kutakuwa na hiki nakadhalika. Sisi wageni kwenye sekta hii hatufahamu haya, kwa mkali anaeweza nipa breakdown hiyo anisaidie wakuu.
Natanguliza shukrani zangu za dhati
Uzi tayari