Lifahamu zao la Macadamia (Karanga Pori) na jinsi ya kulilima

Ntemi Kazwile

JF-Expert Member
May 14, 2010
2,182
307
1598245710719.png

1598245048688.png


macadamia%252520nuts.jpg
Karanga pori,asili yake ni Australia.Mti wa karanga pori unatokana na jamii ya mimea ya proteaceae,aina zote zinalika ambayo mimea yote miwili ni Macadamia intergrifolia na Macadamia tetraphllya mchanganyiko wa mbegu zote mbili bado unafaa kama zao la kilimo la biashara.

Kwa Afrika,Karanga pori inalimwa Kenya,Malawi.Swaziland,Zimbabwe na Afrika ya Kusini.Karanga pori unaota kwenye eneo lolote la udongo na hali ya joto la kawaida kati ya 25c na 35c.Uzalishaji wa mimea inapendekezwa umbali kutoka usawa wa bahari mita 800.Hali ya hewa inachangia zaidi kuliko mwinuko kutoka usawa wa bahari katika kupata mazao bora.

Mvua katika maeneo yote ya uzalishaji kusini na mashariki ya Afrika,Mvua ni kati ya 800 na 1200mm kwa mwaka hivyo asilimia 70 zinanyesha katika kipindi cha kiangazi na ukame.Kumwagilia kunasaidia hasa kwa miti ile michanga ili kusaidia ikue haraka na kutoa mazao.

Aina nzuri ya karanga pori ni ile yenye uwezo wa kuzalisha tani 4 ya karanga kavu zenye maganda kwa hekta,mmea ukiwa umekomaa katika umri wa miaka chini ya 12 au juu kidogo.Aina bora ya karanga pori huanza kuzaa ukiwa na miaka mitatu au juu kidogo.

Mavuno hutegemea mbinu za uzalishaji na taratibu za maandalizi.Miti ikiwa na umri wa miaka 12-15 mazao huwa kilo 15-50 ya karanga kavu zenye ganda la ndani kwa mti.

Bei ya karanga pori ni dola za Marekani 2.1 kwa kilo kwa karanga zenye ganda la ndani.Wastani wa mazao kwa mti ni kilo 15 kama unachanganya karanga pori na mazao mengine inashauriwa kupanda miti 35 kwa ekari.

Kama huchanganyi na mazao mengine basi huoteshwa miti 270 kwa ekari ambapo pato lake hufikia hadi shilingi za kitanzania milioni 16 kwa mavuno.

Aina inayozalishwa kwa njia ya matawi huanza kuzaa ikiwa na umri wa miaka mitatu hadi minne,lakini mazao halisi hupatikana kati ya miaka 12 hadi 15.Mti wa mkaranga pori huishi kwa miaka 50.


Wadau wanaohitaji kufahamu kuhusu zao hili la macadamia

Wadau,

Kuna fursa kubwa kwenye kilimo cha matunda especially kwa nchi yetu ambayo ina ardhi nzuri na ambayo inafaa kwa mazao mengi.

Zao la Macadamia ni miongoni mwa mazao ya muda mrefu ambalo linaweza kubadirisha kilimo cha Tanzania, kwa sasa kuna mtaalamu ambaye ana kitalu cha miche ya macadamia (mche mmoja unauzwa shs 2,000) macadamia inaweza kustawi vizuri kwenye sehemu za baridi lakini siyo baridi sana hivyo kilolo, ifakara, morogoro, arusha, lushoto inaweza kustawi kwa uzuri zaidi.

Mimi nimechukua miche michache kwa ajiri ya kujaribu kwenye maeneo ya kisarawe.

WanaJF naomba mwenye uelewa wowote wa kilimo ch Macadamia anijuze. Najua kuwa ni zao ambalo bei yake ni nzuri kutosha. Mara ya mwisho nilizungumza na dada mmoja akaniambia kuwa kule Lushoto kuna watu wanalima hilo zao. hakuweza kunipa taarifa kwa kina cha kutosha.

Zao hili lipo Tanzania? Hali gani ya ardi inahitajika? Najua Kenya wanafanya export ya zaidi ya USD120m kwa mwaka.

Michango ya wadau
Macadamia inatoa mbegu za mafuta kama ilivyo korosho. Hizo mbegu zinahitajika sana kwa watengenezaji wa chocolate vile vile unaweza kukamua mafuta na ubora wake ni sawa na mafuta ya mizeituni (olive oil). Bei ya Roasted and salted Macadamia Nuts kule Australia naona ni $18. Kule Kenya naona wanalamika utoroshwaji wa Macadamia kuja Tanzania kutayarishwa kwa kusafirisha nje.

Upekuzi zaidi unasema macadamia yanastawi sehemu ambazo avocado, mapapai, na ndizi hustawi. Wakulima wengi wa kenya wanang'oa kahawa ili kupanda macadamia.
----
View attachment 83425View attachment 83426View attachment 83427

Karanga pori,asili yake ni Australia.Mti wa karanga pori unatokana na jamii ya mimea ya proteaceae,aina zote zinalika ambayo mimea yote miwili ni Macadamia intergrifolia na Macadamia tetraphllya mchanganyiko wa mbegu zote mbili bado unafaa kama zao la kilimo la biashara.

Kwa Afrika,Karanga pori inalimwa Kenya,Malawi.Swaziland,Zimbabwe na Afrika ya Kusini.Karanga pori unaota kwenye eneo lolote la udongo na hali ya joto la kawaida kati ya 25c na 35c.Uzalishaji wa mimea inapendekezwa umbali kutoka usawa wa bahari mita 800.Hali ya hewa inachangia zaidi kuliko mwinuko kutoka usawa wa bahari katika kupata mazao bora.

Mvua katika maeneo yote ya uzalishaji kusini na mashariki ya Afrika,Mvua ni kati ya 800 na 1200mm kwa mwaka hivyo asilimia 70 zinanyesha katika kipindi cha kiangazi na ukame.Kumwagilia kunasaidia hasa kwa miti ile michanga ili kusaidia ikue haraka na kutoa mazao.

Aina nzuri ya karanga pori ni ile yenye uwezo wa kuzalisha tani 4 ya karanga kavu zenye maganda kwa hekta,mmea ukiwa umekomaa katika umri wa miaka chini ya 12 au juu kidogo.Aina bora ya karanga pori huanza kuzaa ukiwa na miaka mitatu au juu kidogo.

Mavuno hutegemea mbinu za uzalishaji na taratibu za maandalizi.Miti ikiwa na umri wa miaka 12-15 mazao huwa kilo 15-50 ya karanga kavu zenye ganda la ndani kwa mti.

Bei ya karanga pori ni dola za Marekani 2.1 kwa kilo kwa karanga zenye ganda la ndani.Wastani wa mazao kwa mti ni kilo 15 kama unachanganya karanga pori na mazao mengine inashauriwa kupanda miti 35 kwa ekari.

Kama huchanganyi na mazao mengine basi huoteshwa miti 270 kwa ekari ambapo pato lake hufikia hadi shilingi za kitanzania milioni 16 kwa mavuno.

Aina inayozalishwa kwa njia ya matawi huanza kuzaa ikiwa na umri wa miaka mitatu hadi minne,lakini mazao halisi hupatikana kati ya miaka 12 hadi 15.Mti wa mkaranga pori huishi kwa miaka 50.

Nawasilisha
 
WanaJF naomba mwenye uelewa wowote wa kilimo ch Macadamia anijuze. Najua kuwa ni zao ambalo bei yake ni nzuri kutosha. Mara ya mwisho nilizungumza na dada mmoja akaniambia kuwa kule Lushoto kuna watu wanalima hilo zao. hakuweza kunipa taarifa kwa kina cha kutosha.

Zao hili lipo Tanzania? Hali gani ya ardi inahitajika? Najua Kenya wanafanya export ya zaidi ya USD120m kwa mwaka.
 
Macadamia inatoa mbegu za mafuta kama ilivyo korosho. Hizo mbegu zinahitajika sana kwa watengenezaji wa chocolate vile vile unaweza kukamua mafuta na ubora wake ni sawa na mafuta ya mizeituni (olive oil). Bei ya Roasted and salted Macadamia Nuts kule Australia naona ni $18. Kule Kenya naona wanalamika utoroshwaji wa Macadamia kuja Tanzania kutayarishwa kwa kusafirisha nje.

Upekuzi zaidi unasema macadamia yanastawi sehemu ambazo avocado, mapapai, na ndizi hustawi. Wakulima wengi wa kenya wanang'oa kahawa ili kupanda macadamia.
 
Macadamia inatoa mbegu za mafuta kama ilivyo korosho. Hizo mbegu zinahitajika sana kwa watengenezaji wa chocolate vile vile unaweza kukamua mafuta na ubora wake ni sawa na mafuta ya mizeituni (olive oil). Bei ya Roasted and salted Macadamia Nuts kule Australia naona ni $18. Kule Kenya naona wanalamika utoroshwaji wa Macadamia kuja Tanzania kutayarishwa kwa kusafirisha nje.

Upekuzi zaidi unasema macadamia yanastawi sehemu ambazo avocado, mapapai, na ndizi hustawi. Wakulima wengi wa kenya wanang'oa kahawa ili kupanda macadamia.
Funguka zaidi mkuu kuhusu ili zao,
Alafu hao wa kenya waache ungesengese wao wa kulalamika mbona wao wanatorosha tanzanite yetu na wanaipa nembo yao?na mpaka wamemtorosha MRISHO MPOTO wetu sasa wanamtumia kule kwa obama kama muwakilishi wao wa kiswahili?
 
Macadamias are tricky to grow, but they are proving to be a lifeline for black farmers in South Africa.

Do you know why macadamia nuts are so expensive? It is because it takes five to 12 years for a macadamia tree to produce nuts (a good tree will still be producing nuts 40 years on); and the shell is damned hard to crack – so hard that it will break domestic nutcrackers. The first commercial orchard of macadamia trees, which are native to Australia, was planted in the early 1880s in New South Wales. Australia is still the world's largest producer of macadamias, accounting for more than 40 per cent of world exports. Other leading producers are South Africa and Hawaii. Bush pigs are among the few animals with jaws strong enough to crack the nuts; monkeys simply eat them from the tree when the shells are soft. But we humans, it transpires, require cracking factories. The other obstacle is that harvesting, which takes place in late autumn to spring, is typically done by hand, and pickers have to wait until ripe nuts fall to the floor. Mechanised shaking machines (used for pecans and almonds, for example), which dislodge nuts from the tree to speed up the process, cannot be used with macadamias, as the nuts mature on the tree at different rates. So first the macadamia nuts are husked (like coconuts, the nut is encased within two layers) and then air-dried in the shade for at least two weeks to reduce the moisture content and allow the natural oil to develop. Once the nuts are in the cracking factory, the challenge is getting them out whole, which involves careful drying at 40-43C to further reduce the moisture content, making the shell brittle and easier to crack.

Finally, the nuts are sorted into 'styles' or grades of quality. 'Style 4' is broken pieces and 'style 0' is the premium: glistening and ivory-coloured, big like a brazil nut, but somehow a more satisfying mouthful to crunch. Macadamia nuts are high in fat – up to 80 per cent oil – but it is the right sort, and they are a good source of protein and fibre.



Yataka moyo, soma zaidi hapa: Macadamia nuts are a lifeline for black farmers in South Africa - Telegraph
 
Lushoto, Wanalima sana, fika Sakharani Mission, Utapata kila unachohitaji.

Utasaidia sana kama utatoa maelezo yenye majibu ya maswali yafuatayo.

Wanalima kwa scale gani? ( holela au estate)
wanauza wapi mavuno yao?
Je miche ya macadamia wanapata wapi?
Wakulima wana mafanikio yo yote kupitia zao hili?

vaveja sana.
 
Mkuu kwa muda huu nipo mjini Dar natafuta mtu lushoto anipe taarifa zaidi, , Ila Sakharani Mission, ipo chini ya Benedictine Abbey Missionary, (NMakao Makuu Ndanda Mission) , S.L.P. 40, Lushoto. Tanga.

Hawa wa Misionari wana shamba la Macadamia, na wanauza hata mafuta yake, Kwa Dar es Salaam, Macadamia nuts hua zipo Oysterbay Shopping Centre, kuna mtu anauza kilo moja shillingi elfu nne. lakini upatikanaji wake sio mkubwa sana.
 
ABOUT 150 km from the port of Tanga is Sakharani Farm in the Usambara Mountains. In 1946, the community in Ndanda bought a reasonably large portion of land in this area from an Englishman. This land was to be used for agricultural purposes. Its altitude of 1300m makes Sakharani suitable for growing different kinds of plants, namely: quinine trees, macadamia nuts, coffee, bananas and grapes. All these activities provide employment for many people.

The community consists of about five confreres who, apart from farm work, engage themselves in pastoral work in the parishes of Sakharani, Soni and the surrounding outstations. Other activities include a small auto workshop, carpentry and gardening. Sakharani is also used as a rest house for many visitors as well as a meeting point for the young people who show an interest in joining the community in Ndanda. For more about Sakharani click here.
AddressBenedictine Community,SakharaniP.O. Box 40, SoniLushoto Tanzania​
 
  • Thanks
Reactions: KVM
yani nikipanda ndege huwa napenda wanipe macadamia, kwakweli ni taaaamuuu sana nazipenda sana, ila katika supermarket huwa zina bei kwakweli lakini zipo poa sana ni kuzidi korosho, endelea kuseek info uanze mwanangu nahakika utamake,make sure unacontact watu wa kilimo may be kuna mbolea za kupunguza tyme kama walima michicha ya dar, mchicha unavunwa afta 3 days hahahah
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom