Kilimo cha horticulture ni kizuri sana ukizingatia mambo muhimu

MoroGent

Member
Jan 10, 2018
79
311
Habari wakuu,

Mimi ni mdau wa kilimo na ni mtaalam wa horticulture kwa maana ya profession na uzoefu. Kilimo cha horticulture kinahusisha mboga (vegetables) matunda (fruits), viungo (spices) na maua (floriculture and landscape desin).

Vegetables zipo za aina nyingi sana zikiwemo nyanya, hoho, caroti, vitunguu n.k na zingine hazilimwi sana zinaliwa hotels kubwa na masoko yannje km broccoli, cauliflower, red and yellow pepper, lettuce, zucchini n.k.
Fruits kama passion, banana, papaya, nanasi n.k ni mazuri ukilima kibiashara.

Spices kama tangawizi, swarms na herbs km celery, coriander na basil ni nzuri na hazichukui muda mrefu kiivo.
Mazao haya yote yanahitaji uwekezaji katika eneo moja kubwa kama la eka 5 mpk kumi ambalo kwa kilimo hiki ni kubwa sana. Muhimu hakikisha umeweka miundombinu ya maji km vile drip irrigation na uwe na maji ya uhakika either uchimbe au uvute karibu na mto permanent. Ni vizuri ukwa na screehouse kwa ajili ya tango, nyanya na hoho itakulipa zaidi.

Muhimu sana ni kwamba ukilima kwa kutumia crop calendar kwa target ya miezi flan tu, ukalima rarely supplied vegetables kwa contract farming supply, ukazingatia utaalam na ubora wa mazao, nakuhakikishia soko utapata nanutauza mazao vizuri kisha utapenda kilimo cha horticulture.

Nakushauri ukiachana na fedha ulizonazo na biashara zingine au micho unayopiga, ukajaribu kuwekeza na huku utaweza kuongeza kipato chako kwa namna nzuri na kufanya u-settle somehow.

NOTE: Usikurupuke na kukimbilia na kuacha kila kitu ukaja kufanya horticulture ili utoboe faster, BIG NO, Utalia hiki kilimo kina risk nying ikiwemo high perishability ya mazao, diseases and pest invision, price fluctuations, labor and supervision risk ambazo ni rahisi kukupa hasara na kupoteza fedha in a very short time.
Hivyo basi, PLAN, INVEST AND STUDY THE WIND TO IMPROVEMENTS FOR PROFITABILITY.
Don't put all eggs in the same bucket.

Asante sana wadau, muwe na siku njema.
 
IMG-20230719-WA0018.jpg
 
Unasemaje
Ukishazingatia hayo mambo muhimu; hata biashara ambayo ni mbaya na ya ajabu na haina wateja (ni kwamba utazingatia hio cons na kuzibadilisha kuwa pro) hivyo utakuwa umeondoa ule ubaya kwahio hata sumu ukiondoa ile sumu sio sumu tena
 
Ukishazingatia hayo mambo muhimu; hata biashara ambayo ni mbaya na ya ajabu na haina wateja (ni kwamba utazingatia hio cons na kuzibadilisha kuwa pro) hivyo utakuwa umeondoa ule ubaya kwahio hata sumu ukiondoa ile sumu sio sumu tena
Haya tuma salamu kwa watu watatu
 
Write your reply...nakuelewa vizuri ni kilimo nzuri sna ila masoko yanasumbua kwa baadh ya maeneo na aina ya zao.
 
Tatizo la horticultural crops n katika swala zima la post harvest handling haya mazao baada ya kuvuna kuharibika ni kugusa tu

Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
Ni kweli kabsa. Lakin ukiwa na bustan ilopangiliwa kikalenda unaweza tumia some local structure kuongea shelflife kwa kuhifadhi. Mfano kwa kitunguu kichanja cha kukaushia vinaweza kaa hadi miez 5 kwa local varieties km lumumba, mang'ora na red bombay, na nyanya waweza tumia ZECC varieties km Imara, axillary na hybrid zingine zinakaa kwa siku hadi 21 imagine. Check photos apo ni local kabsa
20230603_150016.jpg
1691246059463_20230603_150128.jpg
 
Write your reply...nakuelewa vizuri ni kilimo nzuri sna ila masoko yanasumbua kwa baadh ya maeneo na aina ya zao.
Nakubali mkuu. Ni muhimu kusoma soko na eneo husika kibiashara kwa kuwa hii human ya ujue uzalishe nini na kwa kiasi gani ili umuuzie nani, wengi hutumia msemo kilimo huanzia sokoni. Aina ya zao ni muhimu, mfano bilinganya baadi hupenda long purple na wengine black beauty, umbo tu na rangi, pia nyanya wengine hupenda ndogo baadhi kubwa, wengne duara km tengeru na wengine oval au mshumaa km imara au rio grande
 
Nakubali mkuu. Ni muhimu kusoma soko na eneo husika kibiashara kwa kuwa hii human ya ujue uzalishe nini na kwa kiasi gani ili umuuzie nani, wengi hutumia msemo kilimo huanzia sokoni. Aina ya zao ni muhimu, mfano bilinganya baadi hupenda long purple na wengine black beauty, umbo tu na rangi, pia nyanya wengine hupenda ndogo baadhi kubwa, wengne duara km tengeru na wengine oval au mshumaa km imara au rio grande
MPYA HII,hapa mfanyabiashara na mtumiaji wa viazi mviringo,,,,,,,,,,(kiepe)
Msimu umewadia.tenaaaaaa,
KARIBU,mkoa wa
NJOMBE,kusini mwa Tanzania, ujipatie viazi mviringo aina zote,unazotaka wew kwa bei nafuu,kabs,....
Wewe dalali na mfanyabiashara mnakaribishwa,....
bei maelewano,
Mawasiliano 0620743697.
View attachment 2773006
FB_IMG_16964051229546339.jpg
 
Habari wakuu,

Mimi ni mdau wa kilimo na ni mtaalam wa horticulture kwa maana ya profession na uzoefu. Kilimo cha horticulture kinahusisha mboga (vegetables) matunda (fruits), viungo (spices) na maua (floriculture and landscape desin).

Vegetables zipo za aina nyingi sana zikiwemo nyanya, hoho, caroti, vitunguu n.k na zingine hazilimwi sana zinaliwa hotels kubwa na masoko yannje km broccoli, cauliflower, red and yellow pepper, lettuce, zucchini n.k.
Fruits kama passion, banana, papaya, nanasi n.k ni mazuri ukilima kibiashara.

Spices kama tangawizi, swarms na herbs km celery, coriander na basil ni nzuri na hazichukui muda mrefu kiivo.
Mazao haya yote yanahitaji uwekezaji katika eneo moja kubwa kama la eka 5 mpk kumi ambalo kwa kilimo hiki ni kubwa sana. Muhimu hakikisha umeweka miundombinu ya maji km vile drip irrigation na uwe na maji ya uhakika either uchimbe au uvute karibu na mto permanent. Ni vizuri ukwa na screehouse kwa ajili ya tango, nyanya na hoho itakulipa zaidi.

Muhimu sana ni kwamba ukilima kwa kutumia crop calendar kwa target ya miezi flan tu, ukalima rarely supplied vegetables kwa contract farming supply, ukazingatia utaalam na ubora wa mazao, nakuhakikishia soko utapata nanutauza mazao vizuri kisha utapenda kilimo cha horticulture.

Nakushauri ukiachana na fedha ulizonazo na biashara zingine au micho unayopiga, ukajaribu kuwekeza na huku utaweza kuongeza kipato chako kwa namna nzuri na kufanya u-settle somehow.

NOTE: Usikurupuke na kukimbilia na kuacha kila kitu ukaja kufanya horticulture ili utoboe faster, BIG NO, Utalia hiki kilimo kina risk nying ikiwemo high perishability ya mazao, diseases and pest invision, price fluctuations, labor and supervision risk ambazo ni rahisi kukupa hasara na kupoteza fedha in a very short time.
Hivyo basi, PLAN, INVEST AND STUDY THE WIND TO IMPROVEMENTS FOR PROFITABILITY.
Don't put all eggs in the same bucket.

Asante sana wadau, muwe na siku njema.
🙏🙏🙏
 
Habari wakuu,

Mimi ni mdau wa kilimo na ni mtaalam wa horticulture kwa maana ya profession na uzoefu. Kilimo cha horticulture kinahusisha mboga (vegetables) matunda (fruits), viungo (spices) na maua (floriculture and landscape desin).

Vegetables zipo za aina nyingi sana zikiwemo nyanya, hoho, caroti, vitunguu n.k na zingine hazilimwi sana zinaliwa hotels kubwa na masoko yannje km broccoli, cauliflower, red and yellow pepper, lettuce, zucchini n.k.
Fruits kama passion, banana, papaya, nanasi n.k ni mazuri ukilima kibiashara.

Spices kama tangawizi, swarms na herbs km celery, coriander na basil ni nzuri na hazichukui muda mrefu kiivo.
Mazao haya yote yanahitaji uwekezaji katika eneo moja kubwa kama la eka 5 mpk kumi ambalo kwa kilimo hiki ni kubwa sana. Muhimu hakikisha umeweka miundombinu ya maji km vile drip irrigation na uwe na maji ya uhakika either uchimbe au uvute karibu na mto permanent. Ni vizuri ukwa na screehouse kwa ajili ya tango, nyanya na hoho itakulipa zaidi.

Muhimu sana ni kwamba ukilima kwa kutumia crop calendar kwa target ya miezi flan tu, ukalima rarely supplied vegetables kwa contract farming supply, ukazingatia utaalam na ubora wa mazao, nakuhakikishia soko utapata nanutauza mazao vizuri kisha utapenda kilimo cha horticulture.

Nakushauri ukiachana na fedha ulizonazo na biashara zingine au micho unayopiga, ukajaribu kuwekeza na huku utaweza kuongeza kipato chako kwa namna nzuri na kufanya u-settle somehow.

NOTE: Usikurupuke na kukimbilia na kuacha kila kitu ukaja kufanya horticulture ili utoboe faster, BIG NO, Utalia hiki kilimo kina risk nying ikiwemo high perishability ya mazao, diseases and pest invision, price fluctuations, labor and supervision risk ambazo ni rahisi kukupa hasara na kupoteza fedha in a very short time.
Hivyo basi, PLAN, INVEST AND STUDY THE WIND TO IMPROVEMENTS FOR PROFITABILITY.
Don't put all eggs in the same bucket.

Asante sana wadau, muwe na siku njema.
Mkuu shukrani sana.
Mie nimewahi uliza humu kuhusu kilimo cha hoho na soko lake hasa Dodoma moro na Dar. Unaweza kunipa fununu hasa ni miezi gani mizuri kuanza kupanda mbegu na kulifuma soko ?
Lakini unaweza kunisaidi ku anslyse the whole business cycle ya hilo zao na ndugu zake kabechi, nyanya, ngogo na karoti.
Mwaka ujao narajia kuwepo kwenye mabo nde ya njombe ambayo hayo mazao yanafanya vizuri ila sijajua soko hasa la mikoa niliyotaja.
Mie ninauzoefu wa kulima viazi mviringo at maximum yield. Shida ya viazi vikianguka bei vinakata mtaji pakubwa kwa sababu uwekezaji wake unatumia mtaji mkubwa.
 
MPYA HII,hapa mfanyabiashara na mtumiaji wa viazi mviringo,,,,,,,,,,(kiepe)
Msimu umewadia.tenaaaaaa,
KARIBU,mkoa wa
NJOMBE,kusini mwa Tanzania, ujipatie viazi mviringo aina zote,unazotaka wew kwa bei nafuu,kabs,....
Wewe dalali na mfanyabiashara mnakaribishwa,....
bei maelewano,
Mawasiliano 0620743697.
View attachment 2773006View attachment 2773007
MPYA HII,hapa mfanyabiashara na mtumiaji wa viazi mviringo,,,,,,,,,,(kiepe)
Msimu umewadia.tenaaaaaa,
KARIBU,mkoa wa
NJOMBE,kusini mwa Tanzania, ujipatie viazi mviringo aina zote,unazotaka wew kwa bei nafuu,kabs,....
Wewe dalali na mfanyabiashara mnakaribishwa,....
bei maelewano,
Mawasiliano 0620743697.
View attachment 2773006View attachment 2773007
Mkuu unalimia wapi?
 
Mkuu shukrani sana.
Mie nimewahi uliza humu kuhusu kilimo cha hoho na soko lake hasa Dodoma moro na Dar. Unaweza kunipa fununu hasa ni miezi gani mizuri kuanza kupanda mbegu na kulifuma soko ?
Lakini unaweza kunisaidi ku anslyse the whole business cycle ya hilo zao na ndugu zake kabechi, nyanya, ngogo na karoti.
Mwaka ujao narajia kuwepo kwenye mabo nde ya njombe ambayo hayo mazao yanafanya vizuri ila sijajua soko hasa la mikoa niliyotaja.
Mie ninauzoefu wa kulima viazi mviringo at maximum yield. Shida ya viazi vikianguka bei vinakata mtaji pakubwa kwa sababu uwekezaji wake unatumia mtaji mkubwa.
Mkuu, mazao mengi hapo uliyotaja ukivuna kuanzia October mpk May, bei yake ni nzuri, hasa ukilima kuanzia eka moja na kuendelea soko ni la muhakika kurudisha capital na faida nyingi hasa mikoa hiyo. Kwa njombe ni mbali sana kupata fuso ya kubeba mzigo mpk Dsm ukafika saa 12 asubuhi, na madali ni wachache kubeba bulky fresh produce, nakushauri ulimie RUAHA MBUYUNI, ILULA, DOMA, MLALI-MZUMBE, DAKAWA, kwa uzoefu wangu wa Extension na usimamiz wa farmers kule utaweza kufanikiwa sana.
Angalia Calendar ya kulima mazao na masoko yake kwa photo apo chini,
 
Mkuu, mazao mengi hapo uliyotaja ukivuna kuanzia October mpk May, bei yake ni nzuri, hasa ukilima kuanzia eka moja na kuendelea soko ni la muhakika kurudisha capital na faida nyingi hasa mikoa hiyo. Kwa njombe ni mbali sana kupata fuso ya kubeba mzigo mpk Dsm ukafika saa 12 asubuhi, na madali ni wachache kubeba bulky fresh produce, nakushauri ulimie RUAHA MBUYUNI, ILULA, DOMA, MLALI-MZUMBE, DAKAWA, kwa uzoefu wangu wa Extension na usimamiz wa farmers kule utaweza kufanikiwa sana.
Angalia Calendar ya kulima mazao na masoko yake kwa photo apo chini,
Mvua unalaboliana nayo vipi hasa jan to march. Niliwahi kulima nyanya ilipofika mwezi wa kwanza hazikutoboa.
Hizo sehemu mimi ngumu kufika kwa sababu ni employed.
Dodoma, Moro soko likoje.
 
Mkuu, mazao mengi hapo uliyotaja ukivuna kuanzia October mpk May, bei yake ni nzuri, hasa ukilima kuanzia eka moja na kuendelea soko ni la muhakika kurudisha capital na faida nyingi hasa mikoa hiyo. Kwa njombe ni mbali sana kupata fuso ya kubeba mzigo mpk Dsm ukafika saa 12 asubuhi, na madali ni wachache kubeba bulky fresh produce, nakushauri ulimie RUAHA MBUYUNI, ILULA, DOMA, MLALI-MZUMBE, DAKAWA, kwa uzoefu wangu wa Extension na usimamiz wa farmers kule utaweza kufanikiwa sana.
Angalia Calendar ya kulima mazao na masoko yake kwa photo apo chini,
Weka hio calendar.
 
Mvua unalaboliana nayo vipi hasa jan to march. Niliwahi kulima nyanya ilipofika mwezi wa kwanza hazikutoboa.
Hizo sehemu mimi ngumu kufika kwa sababu ni employed.
Dodoma, Moro soko likoje.
Mvua inahitaji Mbegu bora na resistant hasa kwenye fungal disease na bacterial one, e.g Imara na Assila F1. Dawa strong zinahitajika km OthelloTop na zingine nying. La sivyo hutoboi masika na weng hawatoboi that's why bei imechangamka
 
Back
Top Bottom